plo lumumba jr
Senior Member
- Nov 8, 2014
- 111
- 79
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.
afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.
Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.
itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.
Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.
afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.
Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.
itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.
Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.