Afande Sele VS Abood 2015

Afande Sele VS Abood 2015

plo lumumba jr

Senior Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
111
Reaction score
79
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.

afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.

Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.

itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.

Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.
 
Nai-support ACT lakini suala la afande Sele kugombea jimboni Morogoro mjini nitakuwa upande wa Abood.

Siasa ili iende vizuri inataka uhuru wa kufikiri. Mimi ni wale tunao amini katika mtu na chama kinafuata baadae.
 
Tanzania kila kitu kinawezekana Wakati Paul Bomani anaangushwa na Paschal Mabiti pale jimboni Mwanza kila mtu alibaki mdomo wazi, ata mzee wetu John Malecela si alipigwa chini na huyu mropokaji Lusinde ??(I stand to be corrected)
 
Siasa za kasoro bahari kwa sasa hazitabiriki
 
Nai-support ACT lakini suala la afande Sele kugombea jimboni Morogoro mjini nitakuwa upande wa Abood.

Siasa ili iende vizuri inataka uhuru wa kufikiri. Mimi ni wale tunao amini katika mtu na chama kinafuata baadae.
We vipi?? Afande Sele ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT-Limited katika zile nafasi 5 alizopewa Kiongozi Mkuu 'kumgawia' yeyote amtakae. Wewe humtaki wakati Kiongozi Mkuu ndio tegemeo lake?! Unamkosea adabu mkuu wa kampuni yenu
 
Dunia inakaribia ukomo wake sasa

Nilikua sijui kama bange inaweza kuongoza jamii
 
Hivi Afande Sele ndio yule mwanamuziki anayepandisha mzuka wa kuvua suruali jukwaani au ni mwingine Abood akifanikiwa kuchapisha hizo picha na kuzibandika Morogoro Mjini hakika Afande Sele atakuwa amejizika kisiasa.

hahahahaaaa kubandika picha ni pigo tosha
 
Ni kweli ajipange. Kumng'oa Abood si kazi ya kitoto ukizingatia jamaa anafahamika na uwezo kipesa
 
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.

afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.

Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.

itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.

Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.

Mkuu wewe ulitegemea kitu gani + kutoka kwa afande sele?
 
Tanzania kila kitu kinawezekana Wakati Paul Bomani anaangushwa na Paschal Mabiti pale jimboni Mwanza kila mtu alibaki mdomo wazi, ata mzee wetu John Malecela si alipigwa chini na huyu mropokaji Lusinde ??(I stand to be corrected)

Mkuu siyo kwa afande sele kumuangusha Abood hiyo ni sawa na mende kuangusha kabati tena mende mwenye siha
 
Those who believe it can't be done,shouldn't interrupt the one doing it.

And if you don't believe in miracles,you're also a miracle.

Miracles happen every day.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom