Afande Sele V/S Mrisho Mpoto Nani yuko sahihi?

Afande Sele V/S Mrisho Mpoto Nani yuko sahihi?

Joined
Feb 22, 2017
Posts
6
Reaction score
16
Kama mmefatilia sana akaunti za Instagram za Afande Sele baada ya hukumu ya Lulu kutoka ni mtu ambaye dizain anamlaumu Marehemu ‘Kanumba’ kuzama kwny dimbwi la mapenzi na binti mdogo ‘Lulu’ ambaye anasema kwa kupindi kile alikua mdogo sana.

Upande wa Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ dizain kama kamuwakia hivi Afande Sele kwa kumwambia kuwa mtu ambaye katangulia mbele za haku hatakiwi kusemwa kwa mabaya tena...!
 
wote wako sahihi kutokana na uwezo wao wa kufikiri
 
  • Thanks
Reactions: THT
Mrisho Mpoto yuko sahihi,maiti hasemwi vibaya maana hawezi kujitetea tena.
Afande alitakiwa kuchukua hatua kabla kisa na mkasa hakijatokea.
 
  • Thanks
Reactions: THT

Similar Discussions

Back
Top Bottom