msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,580
- 6,775
Kwanini mkuuKuna uwezekano hii chai ilidhamini na KINANA.
Kwanini mkuuKuna uwezekano hii chai ilidhamini na KINANA.
Mwingine aliitwa SpoonWaulizeni majambazi na wale magaidi wa kisomali waliomuua OCD kule Serengeti......
Wakati bado akiwa amekaa kimya dhidi ya ushaidi aliopelekewa na mwakyembe wa kuwataja watu walioshiriki katika tukio la kutaka kumwangamiza mwakyembe said mwema ameanza kuwaamisha watuhumiwa kutoka katika vituo vyao vya kati mmoja wa watuhumiwa wakuu wa sakata hili ni askari polisi mashuhuri wa morogoro anayejulikana kwa jina mashuhuri la Sabasita kampeleka kwenda kuwa mkufunzi CCP moshi.
Said mwema nini kinaendelea?
Ngoma imemlegeza?Sasa ivi na hizi changamoto za upumuaji itakuwaje sasa!Sabasita kachoka sana siku izi..ngoma si mchezo!
Leo nimeona taarifa ya habari kupitia ITV kwamba amejitayarishia kaburi amelijengea kabisa sehemu atakayozikwa.Wakati bado akiwa amekaa kimya dhidi ya ushaidi aliopelekewa na mwakyembe wa kuwataja watu walioshiriki katika tukio la kutaka kumwangamiza mwakyembe said mwema ameanza kuwaamisha watuhumiwa kutoka katika vituo vyao vya kati mmoja wa watuhumiwa wakuu wa sakata hili ni askari polisi mashuhuri wa morogoro anayejulikana kwa jina mashuhuri la Sabasita kampeleka kwenda kuwa mkufunzi CCP moshi.
Said mwema nini kinaendelea?
Nimeona kwenye gazeti, jamaa kajitengenezea kaburi kama maandalio ya kurejea kwa muumba!Leo nimeona taarifa ya habari kupitia ITV kwamba amejitayarishia kaburi amelijengea kabisa sehemu atakayozikwa.
Huyu mwanaharamu ameshajua madhambi yake sasa asali sana na atubu ajiandae pia kiroho.
Jamaa alikuwa na shabaha hatari sana alimaliza majambazi pale Morogoro balaa. Kuna jambazi mmoja mwanamke alisumbua sana sijui alikuwa na madawa Yule askari walikuwa hawampati kwenye matukio Ila jamaa alikuja kumlamba risasi.
Vp Hali yake Hadi kujichimbia kaburi na u-OCD wake?Sahivi ni OCD huko kiteto Manyara
Kuna askari polisi mmoja clip inaruka amejitengenezea kaburi lake kabisa, tena lizuri mno na anatoa maelezo amelichimba akiwa akiwa na akili timamu. Asije kuwa ndie huyo 76 kimaro
Pambaf kumbe ndie yeye naona katengeneza kaburi! Laana za dhuluma kumbe ndizo zinamtesa!Vp Hali yake Hadi kujichimbia kaburi na u-OCD wake?
7-6 naskia kastaafuWakati bado akiwa amekaa kimya dhidi ya ushaidi aliopelekewa na mwakyembe wa kuwataja watu walioshiriki katika tukio la kutaka kumwangamiza mwakyembe said mwema ameanza kuwaamisha watuhumiwa kutoka katika vituo vyao vya kati mmoja wa watuhumiwa wakuu wa sakata hili ni askari polisi mashuhuri wa morogoro anayejulikana kwa jina mashuhuri la Sabasita kampeleka kwenda kuwa mkufunzi CCP moshi.
Said mwema nini kinaendelea?
Kuwa OCD Kiteto ni cheo cha adhabu.Sahivi ni OCD huko kiteto Manyara