naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,065
Ndio yeyeHivi huyu ndio baba Tunda?
Ndio yeyeHivi huyu ndio baba Tunda?
Ina maana mizigi ya ngada inatokea Moro?!Ndio yeye
kila kitabu na zama zake,we huoni katoto chake wanavyokafumua saiz?Huyu Sabasita yuko wapi siku hizi
Hujamjibu swali! hakutaka kujua ya bintiye!kila kitabu na zama zake,we huoni katoto chake wanavyokafumua saiz?
Huyu Sabasita yuko wapi siku hizi
Aiseee nimeiona ile video sikutaka kuamini ndo Paty niliyekua namfahamu kiboko ya majambaziUsiku wa kuamkia leo tarehe 21/22- 7/2020. Baba mzazi wa Tunda (76) kamtoa bure binti yake kwa msanii whozuu...hahaa
Shetani akizeeka anakuwa malaikaAiseee nimeiona ile video sikutaka kuamini ndo Paty niliyekua namfahamu kiboko ya majambazi
Eti Birthday katoto kamemletea na bwanaake. Halafu anasema eti nilikuona kuanzia Tunda mtoto ulikua unazunguka zunguka nyumbani
Kwakwelimaamkabur yanafukuliwa
Kumbe pia ni baba yake na mlimbwende Cappuchino tunda..Sabasita Kimaro! Huyu polisi ni bonge la Mbabe,alikuwa anakamata wahalifu mwenyewe alafu anawakimbiza barabarani kifua wazi hadi kituoni! Enzi hizo watoto walikuwa wanamuona Rambo wa Arusha! mashabiki wa soka wanamjua sana huyu!
NdieHivi huyu ndio baba Tunda?
baba yake na mlimbwende Cappuchino tunda..Mhh, ngoja tusubiri taarifa manake JF ni kisima cha taarifa
Weee banjooo alkua anamhanya sabasita mbayaaaa. Sabasita alitisha chugasi akamkamate yule jambazi hatari wa huko a town banjoo sijui!
Mtoto kamrithi baba tabiaAiseee nimeiona ile video sikutaka kuamini ndo Paty niliyekua namfahamu kiboko ya majambazi
Eti Birthday katoto kamemletea na bwanaake. Halafu anasema eti nilikuona kuanzia Tunda mtoto ulikua unazunguka zunguka nyumbani
Hapa JF ndo mtu unaivulia kofia...
Huyo hapo akigawa CHAI kwa wasomali!