JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Naomba mwenye Profile ya huyo kimaro AKA 76 pamoja na Cv yake amwege huku jamvini tumjue vizuri,kama kaletwa huku Moshi tumjue na tujue jinsi ya kupishana nae njiani Tafadhali.
Huyo7-6 ni njemba fulu afya na imeende hewani vya kutosha pisto 2 kiunoni, micheni ya gold na silver ya kumwaga pete usiseme anapenda sana starehe na misifa kibao hutembelea magari ya kifahari na ma pikipiki makubwa alikuwa meru, akapelekwa mo town then moro niu njemba ya ukweli na ishaua sana nadhani zaidi ya roho 200 zinamhusu yeye mwenyewe...ashakuwa board guard wa sunda mererani at the same time akiwa askari polisi anayetegemewa, kazi zake ni za mkataba hususani kufanya finishing, ukimuona utadhani boss TRA lakini ni cops...jamaa ni noma yani yeye ni baadhi ya watu wachache wenye leseni ya kuua Tz....yani ni expert wa uuwaji anaaminika sana na itambuliwe kuwa yuko karibu na viongozi wa juu sana...anatembelea pisto mbili kiunoni kaweka kama simu fulu adharani anaweza akakupora hata demu wako bar...ni njemba yenye afya na licence ya kuua anavaa zaidi ya yenu kwani suruali zake hufungia mkanda mabegani ukimuona mkimbie ni janga tena zaidi ya izirael mtoa roho ukimuona YUKO JIRANI YAKO WEWE ANZA KUAGA NA KUGAWA URIDHI