Elias Msuya
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 173
- 671
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amehoji wanasiasa wanaosema watalinda kura, akisema watalindaje na kwa sheria gani?
Ameyasema hayo leo Julai 22, 2025 alipokuwa akihojiwa katika kituo cha televisheni cha Clouds TV jijini Dar es Salaam.
Kauli ya Oktoba Linda Kura inatumiwa na Chama cha ACT Wazalendo.
Ameyasema hayo leo Julai 22, 2025 alipokuwa akihojiwa katika kituo cha televisheni cha Clouds TV jijini Dar es Salaam.
Kauli ya Oktoba Linda Kura inatumiwa na Chama cha ACT Wazalendo.