Vibaka wakiivizia hiyo silaha na atakapoamka anakuta imetoweka, atatunga usanii gani kujenga utetezi kwa wakubwa zake? Kwamba amevamiwa hakuna dalili ya purukushani, labda avua magwanda hayo na kuyapaka vumbi, lakini kama ni dar vumbi lake ni mchanga hukung'utika na kubaki nguo bado nzuri, labda jasho tu ndilo chumvi ya mwilini ikikaukia nguoni kuna mabaka ya chumvichuvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.