Hahaha kwa hiyo afisa wa TFS na hawa wa local gvt watakuwa wanafanya nini mkuu?Kasome UDSM uje uwe unatoa vibali vya kukata mkaa na mavuno mengine ya asili... Kijana jiandae kutajirika siku sio nyingi.
Hahaha aiseeSUA ndio kitu gani!? Wewe unaanzaje kusoma chuo kina jina la mtu! Sokoine sijui, Sebastian madudu gani Mara kairuki....Damn haven't you heard bout Harvard, Oxford All those r cities nenda Chuo kikuu UDSM usiende hicho.
Ukikubali ukweli haiwezi kukutesa maana hata mbinguni hatuendi woteMgogoro wa kinafsia...wengi wanaokosa nafasi ya kuja chuo kikuu cha taifa hukumbwa na hili tatizo.
Ukutafute umpeleke wapi wakati atakuwa keshafika chuoniChoo Sua na ukifika nitafute...
Unamaanisha lecturers wa UDSM hawakijui wanachokifundisha?Aende SUA kwa kigezo cha specialization ya chuo.
UDSM na agriculture wapi na wapi?
Ataipata degree but akisema ni ya udsm hatutaweza kumuelewa vizuri