Advera Senso,msemaji wa Jeshi la polisi

Advera Senso,msemaji wa Jeshi la polisi

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,209
Nimemsikiliza huyu mama akihojiwa na sudi mnete wa idhaa ya kiswahili redio DW,amesema kwamba kuna watu 30 wamekamatwa wakitokea Iringa kwenda mbeya ambao wanawahisi ndio waliosababisha vurugu,
Pili amesisitiza kwa KUJIAMINI kuwa Marehem Mwangosi ameuliwa na kitu kilichotumwa kutokea upande wa wananchi na si POLISI,,,,,,
HIKI CHOMBO SIJUI NANI HUWA ANAKIRUSHA YAILAHI
 
Nimemsikiliza huyu mama akihojiwa na sudi mnete wa idhaa ya kiswahili redio DW,amesema kwamba kuna watu 30 wamekamatwa wakitokea Iringa kwenda mbeya ambao wanawahisi ndio waliosababisha vurugu,
Pili amesisitiza kwa KUJIAMINI kuwa Marehem Mwangosi ameuliwa na kitu kilichotumwa kutokea upande wa wananchi na si POLISI,,,,,,
HIKI CHOMBO SIJUI NANI HUWA ANAKIRUSHA YAILAHI

Sasa mkuu ulitegemea akubali kuwa alilipuliwa na tear gas canister? she is serving her master
penye ukweli uongo hujitenga, DAIMA
 
mojawapo ya maofisa hopeless ni yule mama,under the carpet anatoa k kwa mkubwa ndo chanzo hata cha kupewa nafasi ile licha ya cheo chake kuwa kidogo kwa wadhifa ule,,kiitifaki ya polisi
 
dah! hao ndo maintelijensia wetu, mama anatamka hivyo!! ripoti ya uchunguzi tayari imeishatoka?????.
 
Kwa kweli inasikitisha sana kuona haya yakitendeka katika nchi inayohubiriwa kuwa ni kisiwa cha amani na ukweli kupindishwa, lakini kila chenye mwanzo na mwisho wake upo. let's wait and see.
 
Hawa ma policcm wamesahau watu waliowazunguka wana IQ kubwa zaidi yao...wamejisahau wao ni failures wa sekondari almost wote,sasa sababu wameingia huko ni amri wanataka kutuburuza wote na ujinga wao....sio karne hii!!Mwema angejiudhuru kulinda heshima ya Jeshi!ushemeji ungewekwa pembeni sasa jamani imetosha
 
Bado najiuliza,na nnazidi kujiuliza MSEMAJI WA JESHI LA POLISI ANATUDANGANYA AU ANAJIKANGANYA????
 
Cha kwanza mwema angeachia ngazi,afuate kamhanda hadi huyo mmama msemaji wao ni aibu kuturudisha zama hizo wakati kila kitu kiko wazi,watu wameshuhudia live,picha zipo. kuonyesha ni wanyama kiasi gani wamemwacha na nyama tu hata bila kumsitiri kiumbe cha mja,wanamuhangaikia mwenzao. Sina hakika na IQ ya jeshi la policcm kiukweliwana bahati sn wadanganyika hawapendi makuu,pangekuwa pengine yaaani jana leo ni kelele,maandamano barabarani wote hao watoke ila kuonyesha watz ni wavumilivu,wako kimya.
 
Back
Top Bottom