Nimemsikiliza huyu mama akihojiwa na sudi mnete wa idhaa ya kiswahili redio DW,amesema kwamba kuna watu 30 wamekamatwa wakitokea Iringa kwenda mbeya ambao wanawahisi ndio waliosababisha vurugu,
Pili amesisitiza kwa KUJIAMINI kuwa Marehem Mwangosi ameuliwa na kitu kilichotumwa kutokea upande wa wananchi na si POLISI,,,,,,
HIKI CHOMBO SIJUI NANI HUWA ANAKIRUSHA YAILAHI
Pili amesisitiza kwa KUJIAMINI kuwa Marehem Mwangosi ameuliwa na kitu kilichotumwa kutokea upande wa wananchi na si POLISI,,,,,,
HIKI CHOMBO SIJUI NANI HUWA ANAKIRUSHA YAILAHI