kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Habari ndugu zangu wanajf
Habari za sikukuu ya eid kwa watanzania wote nawatakia eid njema
Nije kwenye mada kiukweli nikiri adui wa watanzania waislam ni bakwata ambao wameturudisha nyuma
Hebu angalia kimataifa leo ni sikukuu ya eid ila bakwata kwa maamuzi yao wanakaa wanaamua iwe kesho kitaifa
Yaani Tanzania imekua ikiendeshwa na hili genge liitwalo bakwata ambao ndo wanawarudisha nyuma waislam
Angalieni elimu, kwa upande wa ndugu zetu wakristo kielimu wamesonga mbele kwa sababu ya kuwa na taasisi imara za kidini
Bakwata imeanza toka miaka ya 60 lakini mpaka leo hawana lolote la kujivunia iwe shule bora au hata hosptali hii ni aibu kubwa
Jee hili baraza lipo kwa maslah ya nani??chama tawala au?
Maeneo ambayo waislam waliikataa bakwata hapa nchini pana maendeleo mno ya kiuchumi, kiafya na kielimu mfano, waislam wa moshi kilimanjaro mfano kule machame,masama, siha,na kibosho ukiangalia waislam wa kule ni wasomi sana na wana shule nzuri, vituo vya afya vizuri na hata maendeleo ya kiuchumi.
Ni aibu kuona baraza kama bakwata lina zaidi ya miaka 50 linakosa hata shule na bado mpaka leo ni omba omba wa kujengewa misikiti na visima shame on you bakwata
Nyakati zimebadilika waislam watanzania tunapaswa kubadilika na kuacha kuiwaza bakwata vichwani mwetu
Nawatakia sikukuu njema watanzania wenzangu wote bila kubagua dini wala kabila
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za sikukuu ya eid kwa watanzania wote nawatakia eid njema
Nije kwenye mada kiukweli nikiri adui wa watanzania waislam ni bakwata ambao wameturudisha nyuma
Hebu angalia kimataifa leo ni sikukuu ya eid ila bakwata kwa maamuzi yao wanakaa wanaamua iwe kesho kitaifa
Yaani Tanzania imekua ikiendeshwa na hili genge liitwalo bakwata ambao ndo wanawarudisha nyuma waislam
Angalieni elimu, kwa upande wa ndugu zetu wakristo kielimu wamesonga mbele kwa sababu ya kuwa na taasisi imara za kidini
Bakwata imeanza toka miaka ya 60 lakini mpaka leo hawana lolote la kujivunia iwe shule bora au hata hosptali hii ni aibu kubwa
Jee hili baraza lipo kwa maslah ya nani??chama tawala au?
Maeneo ambayo waislam waliikataa bakwata hapa nchini pana maendeleo mno ya kiuchumi, kiafya na kielimu mfano, waislam wa moshi kilimanjaro mfano kule machame,masama, siha,na kibosho ukiangalia waislam wa kule ni wasomi sana na wana shule nzuri, vituo vya afya vizuri na hata maendeleo ya kiuchumi.
Ni aibu kuona baraza kama bakwata lina zaidi ya miaka 50 linakosa hata shule na bado mpaka leo ni omba omba wa kujengewa misikiti na visima shame on you bakwata
Nyakati zimebadilika waislam watanzania tunapaswa kubadilika na kuacha kuiwaza bakwata vichwani mwetu
Nawatakia sikukuu njema watanzania wenzangu wote bila kubagua dini wala kabila
Sent using Jamii Forums mobile app