Adui mkubwa wa mwanamke ni UMRI

Adui mkubwa wa mwanamke ni UMRI

Umri umefanya Nini kijana?? Kwamba mwanamke akifika 30's hawez pata mahusiano na mtu?
Kuna wanaume ambao hawako interested na vibint under 30 Sasa sijui unaingea vitu Gani bila kutumia bongo

Vitu vingine kabla hujaandika hebu fikiria kwanza maana mnavoandama kuhusu umri utadhan ndo pumzi za watu
Nimeona sijui ni Leo au Jana koff Olomide 69 kamuoa mpenzi wake wa zaman 43
Kukasirika au kutofurahishwa na maneno ya mleta mada haibadilishi ukweli kuwa huo umri ni late marriage stage. Kwa mtu mwenye malengo ya kujenga familia bora na mahusiano serious,miaka 27 amechelewa sana na atarisk sana mahusiano yake.

Wewe unaongelea kutongozwa of which haimaanishi kuolewa na mtu serious, mwanamke atatongozwa tu hata akiwa na miaka 70 hiyo sio hoja ya mafanikio kwa mwanamke.

Umemtolea mfano Koffi Olomide,unajua kuwa hataki kupata mtoto na huyo mwanamke na imeanza kuleta shida na inaweza pelekea talaka?🤔 Mahusiano ya kutafuta baada ya miaka 26 kwa mwanamke huwa yanakuja na vipengele.
 
Back
Top Bottom