Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,926
- 6,575
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ado Shaibu amependekeza kuwepo na kambi ya upinzani licha ya kuonekana kuna wabunge wa chache wa vyama vya upinzani akidai kukosa kambi ya upinzani bungeni kuna vitu vingi wanavikosa na kujikuta wanalazimika kufanya wenyewe
Ado ameyasema hayo leo wakati akihojiwa na Wasafi Fm kupitia kipindi cha Jana na Leo
Soma Pia: Ado Shaibu: Bungeni kugumu sana, kwa sababu ya kuwa na idadi ndogo sana ya wabunge wa upinzani
Ado ameyasema hayo leo wakati akihojiwa na Wasafi Fm kupitia kipindi cha Jana na Leo
Soma Pia: Ado Shaibu: Bungeni kugumu sana, kwa sababu ya kuwa na idadi ndogo sana ya wabunge wa upinzani