Wadau,,, naomba Muongozo, nimekuwa provisional selected chuo cha Stephano Moshi Memorial University College through NACTE,, lakini profile inasema naweza kuedit mchaguo mpaka tarehe 24, mwenye uelewa tafadhali
kwa uelewa wangu hapo ni hivi kwenye profile iyo sehemu inayosema kumodify machaguo kila profile ya mtu yeyeto wa nacte ina ayo maelezo ata kwa wale ambao vyuo vime confirm kuwachukua nao ayo maneno wanayaona kuhusu kuedit mpaka ufungue pale kwenye go to profile ikifunguka kama utakuta neno change categories ndio unaweza edit kama alipo we umeisha chaguliwa ndugu sababu kwenye machaguo kama umechaguliwa kina baki chuo kimoja tu ulichochaguliwa ila kama vyote unaviona lazma neno change categories liwepo maana itakuwa umekosa chuo ila kwa ishu yako subir chuo kiku confirm iyo aya ku modify aiku husu ni kwa wale ambao awajachaguliwa ndio wanaweza ku modify machaguo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.