Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,354
- 17,687
Kwa kuteteana wale jamaa kiboko,lakini ukiwa na mzito wa kukupa backup na ushahidi atapewa adhabu za kijeshi na MP mpaka wewe mwenyewe ukiona unaweza kumhurumia.Mpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Hakikisha unajua mifumo ya ufanyaji kazi ya Jeshi, ikiwemo utawala. Huendi tu kibubusa kama yatima. Hapo unainvolve hata Wanasheria. Na unakomalia bango kwelikweli. Msala ukishafika hatua fulani kila afande anauogopa, maana afande hajui mkubwa ajaye utakayempelekea msala wako atawachukuliaje hawa wa chini walioliaibisha jeshi.Kwanza ukifika kuna wakukusikiliza mwache ajipe moyo, ukiona unasikilizwa ujue hyo ni critical issue kweli kweli la sivyo ukifika ataitwa "afande maro mbona kijana amechafuka embu mpereke akaoge" hapo ujue unaenda kuoga vumbiukitoka huko hurudi tna
Hujui kua,Mungu ni wa majeshi.Ila wajeda Kama kweli mbinguni kupo Basi wengi wao watabaki kupasikia tu.
Hawa jamaa Ni makatili Sana.
Sawia, lakini kuna hizi no mbili za nje nje ya Mij karibu na mipaka hahah sio watu kwenye maeneo yao ya kazi hata asimame nani mbele yake mkuu.Hakikisha unajua mifumo ya ufanyaji kazi ya Jeshi, ikiwemo utawala. Huendi tu kibubusa kama yatima. Hapo unainvolve hata Wanasheria. Na unakomalia bango kwelikweli. Msala ukishafika hatua fulani kila afande anauogopa, maana afande hajui mkubwa ajaye utakayempelekea msala wako atawachukuliaje hawa wa chini walioliaibisha jeshi.
Ukiwaogopa hawa jamaa wanaweza kubaka halafu usifanye lolote
Kuja kupata nafas ya kumuona ni mtiti,kama wewe sio kibopa ama huna koneksheni.Unataka kuniambia mnadhimu wa Jeshi la JWTZ amebariki uvunjaji wa sheria na katiba ya nchi?- Hakuna kitu kama hicho. Ukiamua kukomaa unakomaa nao kwelikweli hadi kuhakikisha hiyo ishu inafika mbali.
Unajifanya mjanja kisa upo nyuma ya keyboardMimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja
Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Wameshindikana kwa lipi?!Wewe upo hapo nyuma ya keyboard unajiona ni jasiri sana, sasa mimi nakwambia nishawahi kukaa nao jamaa kwenye mafunzo huko walikuja watu watata sana na watukutu kupitiliza ila baadaye walikuwa wapole. Hao jamaa waone hivyohivyo na magwanda yao kama mabishoo ila wameshindikana. Kama unataka amani na kutetea haki yako kuwa mpole na upeleke malalamiko baadaye kwa wakubwa zao atashughulikiwa hata kupoteza kazi. Sasa wewe jitie una ujasiri wa waandamanaji wa UKAWA, utakuja kusimulia
Achana na story za vijiweni, zitakupotezea mudaMpaka umuone mkubwa wao labda iwe tu ni bahati yako
Kama askari tu anazinguliwa na akitaka zinapigwa na hakuna anaefukuzwa kazi(kuna mjeshi alizinguliwa na polisi,akaenda kambini akawashitua wana,wana wakavamia kituo cha polis kikapigwa),na sikusikia mtu katimliwa
Unataka kumfanya nini?Unapatikana wapi
Achana na hayo mambo nilikosea kuandika bhana aah😂Si Huko Jeshini
cha kwako unakikalia mwenyewe sio?😄Rafiki ulitoka ukiwa na cheo gani huko
Acha kuwafundisha watu uoga na kukubaliki kunyanyasika wakiwa wananyang'anywa haki zao za msingi. Ukianza huo unyonge utapigwa makofi hata na wadogo zakoWewe upo hapo nyuma ya keyboard unajiona ni jasiri sana, sasa mimi nakwambia nishawahi kukaa nao jamaa kwenye mafunzo huko walikuja watu watata sana na watukutu kupitiliza ila baadaye walikuwa wapole. Hao jamaa waone hivyohivyo na magwanda yao kama mabishoo ila wameshindikana. Kama unataka amani na kutetea haki yako kuwa mpole na upeleke malalamiko baadaye kwa wakubwa zao atashughulikiwa hata kupoteza kazi. Sasa wewe jitie una ujasiri wa waandamanaji wa UKAWA, utakuja kusimulia
We jamaa kama ni wewe kweli maeneo ya mirambo nisamehe sana 🤠🤠Kwenye pitapita zangu nikaingia kwenye eneo la Jeshi kukata majani ya kulisha ng'ombe. Mbele yangu kulikuwa na maembe dodo yanatamanisha sana. Sasa mimi sikujua kama ni eneo la jeshi.
Nikaenda chini ya embe dodo nikaanza kuyapopoa maembe.
Muda kidogo naona pale nilipoacha mkokoteni wa kubebea majani kuna mtu amekaa na magwanda, huku anazuga anaongea na simu.
Oya, siisahau ile siku.
Umewafananisha magreza na k.mJw hana maajabu kutana magereza kwenye 18