Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,340
- 1,590
Nauliza tu.
Mhakama ya kimataifa imekuwa ikiwashighulikia wale ambao wamesababisha mauaji ya watu wengu, je kama mtu ni kiongozi na amekaidi kufuata maelekezo ya kitaalamu katika ugonjwa uliotangazwa kama janga la dunia na mbaya zaidi watu wengi wakafa kwa ukaidi ule sheria ya mahakama ya The Hague inasemaje.
Nataka kujua tu.
Mhakama ya kimataifa imekuwa ikiwashighulikia wale ambao wamesababisha mauaji ya watu wengu, je kama mtu ni kiongozi na amekaidi kufuata maelekezo ya kitaalamu katika ugonjwa uliotangazwa kama janga la dunia na mbaya zaidi watu wengi wakafa kwa ukaidi ule sheria ya mahakama ya The Hague inasemaje.
Nataka kujua tu.