TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
[h=6]Padri mmoja alikuwa anahubiri, akasema, [/h][h=6]Wasiotubu dhambi watalia na kusaga meno siku ya hukumu. [/h][h=6]Kibogoyo mmoja akacheka, akamnong'oneza mwenzake [/h][h=6]"thithi tumebarikiwa, hii adhabu ya kuthaga meno kwetu haipo.
Athante Yethuu.![/h]
Athante Yethuu.![/h]