Adhabu kandamizi kama hizi ni noma.

nami nasubiri jibu, lakini mleta mada amecopy kutoka mahali, pengine alikocopy hawakudisclose information za mwanaume.
Kwanini wasi-disclose na wote wame hukumiwa na hakimu huyo huyo mmoja!?

Hawa walio andika hii habari wana malengo yao maalum...! Hii habari ukiisoma juu juu kama wanavyofanya watu wengine unaweza hisi kama kuna uonevu fulani... na ilo ndilo wanalotaka watu walione!
 
X Paster,
Usimuelewe vibaya mleta picha. Yeye picha katoa mtandaoni, huenda hata hapo alipozichukua hawajaweka picha za mwanaume aliyekuwa anazini na huyo dada. Ndo shida ya mfumo dume ulivyo, si mleta mada.
Do not go that far man!
Naye huyo mleta mada, anaokota okota tu habari bila ya kuzichambua, au alivutiwa kwa kuona ni mwamammke tu ndiye anaye adhibiwa tena kupitia SHARIA...? Lakini mwanaume inavyo onekana kama kasamehewa vile.
 
Ndio hiyo mahakama ya kadhi inayotakiwa kuwepo kwetu tz, mambo yenyewe ndio hayo.................mpo hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu dem naye wamama tu! yaan bakora tisa tu anazimia!!!? enzi hizo shule tulicharazwa mbalati haziesabiki na bado mtu anadunda tu!!!!!
Kumbukeni hizi ni kacha za watu, zilichukua maelfu ya miaka, na bado zinaevovu hivyo itafika kipindi zitakaa vizuri tuu!
Kama sisi tunavyopigia kelele wale jamaa zetu wa kulee kwa kuwafanyie tohara watoto wa kike: ilhali na wakiume wanaumizwa na tohara hiyohiyo!!:bored:
 
Hii hadith yako si authentic.

Ila hiyo ya sharia kuwahukumu wanawake peke yao kuwa ndiyo wazinzi na kuwaacha wanaume wakiendelea kuzini na kuua wanawake wengine ndiyo authentic? pathetic believe/religion
 
Ila hiyo ya sharia kuwahukumu wanawake peke yao kuwa ndiyo wazinzi na kuwaacha wanaume wakiendelea kuzini na kuua wanawake wengine ndiyo authentic? pathetic believe/religion
Acha kukurupuka, umelisoma vizuri hilo bandiko au unaweka mbele jazba akili unaiwacha nyuma...!?
 
jamani kwani alifanya mwenyewe?
mtu aliyemshawishi nae angefanyiwa hivi.
where z gender issue.
 
Allah, allah if this is who and what you are, I don't want you and your religion islam.
 
Ila hiyo ya sharia kuwahukumu wanawake peke yao kuwa ndiyo wazinzi na kuwaacha wanaume wakiendelea kuzini na kuua wanawake wengine ndiyo authentic? pathetic believe/religion

Yaap hiyo ndo dini ya Marehemu Mwamadi mtume pekee wa allah. ALLAH HATES WOMEN.
 
A 34-year-old Indonesian woman was caned in front of a mosque after being caught having extramarital affairs while divorcing her husband.

Irdayanti Mukhtar received nine lashes of the cane for committing adultery before 200 jeering onlookers outside the Al Munawwarah Mosque in Jantho, Indonesia, the Jakarta Globe is reporting.

Mukhtar had been sentenced to the punishment the previous day by a Sharia court where prosecutors said that she was guilty of being in "close proximity" to another man.

The Daily Mail reports that Mukthar was one of four people, including the man she was caught with, to be caned for extramarital affairs Friday. Sharia Police are also investigating a claim that Mukhtar was molested by the crowd before they took her to be charged.

Shortly after the caning, Mukhtar passed out and had to be taken to hospital for treatment.

View photos of the caning below:



CANING-IIII.jpg





CANING-III.jpg





CANING-I.jpg


Afwazali umesema wee, tungekuwa sisi, hii mada ingefutwa na kupingwa bani.
 
Haki iko mbinguni, Na hakuna mwanadamu mwenye haki ya kutoa hukumu kwa mwanadamu mwenzake, Tena kwenye nyumba ya mungu wakati tunaamini kuna siku iya kiama, Wapi imani yao kwa mungu???,
Wapi roho zao, Mafundisho gani wanapata mpaka kuwa na ujasiri wa kufanya hivo??
Kwanini wanaficha nyuso zao??

Sio safi
 
si kweli hata kidogo. Ukimwi upo hata nchi zenye sheria kandamizi kama hizi. Pakistan, afghanistan, somalia na nchi nyingi tu. Kinachotakiwa hapa ni mipangilio ya kisayansi katika kukabiliana na janga hili. Elimu ya afya kuhusu ukimwi kwa mfano imesaidia sana kupunguza kasi ya ueneaji wa ugonjwa huu hata katika nchi kama yetu ambayohaina sheria kama hizi na ikumbukwe kwamba hivi karibuni tumepongezwa kwa kufaulu kuipunguza kasi ya usambaaji wa ugonjwa huu. Kudai vyeti vya ndoa katika nyumba za kulala wageni ni aina mojawapo ya unyanyasaji kwani ni vigumu mtu kutembea na cheti cha ndoa kila aendako ukizingatia kwamba cheti hicho hutolewa mara moja tu. Isitoshe kwa tekinolojia ya sasa vyeti vya kugushi vitafurika mitaani kwa ajili ya kufanikisha malazi hotelini.
Such primitive and repressive laws will only exacerbate the situation. There are no such laws in western countries and yet the aids situation keeps on improving year after year. I insist, combined efforts and not such measures will do.

uuongo chi hizo zina rate ndogo sana ya ukimwi
 
.. enzi hizo shule tulicharazwa mbalati haziesabiki na bado mtu anadunda tu!!!!!
Hebu angalia vizuri picha, anapigwa na li mjeledi mgongoni chini ya shingo, wewe shule ulipigwa na mijeledi mgongoni?

CANING-IIII.jpg
 
Back
Top Bottom