Aden Duale: CCM Itadondoka kama KANU

Aden Duale: CCM Itadondoka kama KANU

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Wakuu salama!... Kwanza naomba niwasalimu wote baada ya kutoka ban...

Katika kile kinachoonekana mafuriko ya Ukawa/Lowassa kutingisha Nchi, hali imekuwa hivyo hivyo kwa nchi za majirani na dunia nzima.

Mafuriko haya ambayo viongozi wa CCM wanayaita ni "genge la vibaka" ndio kwa sasa yameizika rasmi Chama hicho chakavu, hasa kwa mafuriko ya Mwanza, Mbeya na Arusha...

Hali hiyo imepelekea nchi ya Kenya kuweka wazi msimamo wake na kuona anguko la CCM kama KANU ilivyooanguka mwanzoni mwa miaka ya 2000 (2002)...

Msemaji na msimamizi mkuu wa shughuli za serikali Bungeni Ndg. Aden Duale kasema wazi kuwa anguko la CCM limewadia na Ukawa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi oktoba.... (Aden Duale ni majority leader bungeni)...

NB: Tafsiri hii ni pana sana hasa ukizingatia mgombea wa CCM alimuunga nani 2013 katika uchaguzi wa Kenya. Na pili urafiki wa Uhuru na viongozi wengine wa nchi majirani unazidi kutoa tafsiri pana zaidi ambayo ni dalili mbaya kwa CCM na serikali yake kuchokwa sio tu nchini hata na nchi za jirani......... Mwaka huu CCM hawana pakuchomokea....
attachment.php

 
Mtatengeneza uongo mpaka mkae mwaka huu lakini hamtapata mnachotaka.
 
Watakuambia huo ni moto wa mabua, huku nyumba inateketea yote.
 
Mkuu Ocampo na isipungue neno katika hayo aliyoyasema huyo Mkenya.
 
Huyo Msomali analeta ndoto za mchana, huwezi kulinganganisha masuala ya kisiasa ya Kenya na Tanzania.
 
Watakuambia huo ni moto wa mabua, huku nyumba inateketea yote.

Moto wa mabau ulioshika kwenye petroli kuzima kwake ni kugumu sana, by the way moto ni moto tu unaunguza bila kujali chanzo chake....
 
Halafu baada ya October KQ marufuku Dar waanze kulia
 
Ukweli ni kwamba Uhuru hawezi kumuunga mkono Magufuli kwa kufanya hivyo atahatarisha nafasi yake 2017. Kwa sababu Magufuli ni rafiki mkubwa wa Raila....

Then Uhuru, Museven na Kagame kwa ujumla wao hawampendi Jakaya wanasema ni mswahili na haelewi kitu. Hivyo nguvu saizi iko kubwa kuingoa CCM na serikali chakavu madarakani
 
Huyo Msomali analeta ndoto za mchana, huwezi kulinganganisha masuala ya kisiasa ya Kenya na Tanzania.

Kwa nini usilinganishe wakati politics of science ni ile ile.... Kila nchi lazima ipite kwenye certain stage of changes..... CCM haiwezi kurudi madarakani. Wananchi wanaichukia, nchi za jirani zinaichukia na nchi za Magharibi zinaichukia kwa kuzidi kuwanyonya wananchi wa hali ya chini
 
Ukweli ni kwamba Uhuru hawezi kumuunga mkono Magufuli kwa kufanya hivyo atahatarisha nafasi yake 2017. Kwa sababu Magufuli ni rafiki mkubwa wa Raila....

Then Uhuru, Museven na Kagame kwa ujumla wao hawampendi Jakaya wanasema ni mswahili na haelewi kitu. Hivyo nguvu saizi iko kubwa kuingoa CCM na serikali chakavu madarakani


Ningependa kujua jinsi walivyosema hiyo sentensi niliyoikoleza kwa wekundu ukichukuilia kwamba hawakuyatamka hayo maneno kwa Kiswahili, embu rudia jinsi walivyosema kwa Kiingereza!
 
Kwa nini usilinganishe wakati politics of science ni ile ile.... Kila nchi lazima ipite kwenye certain stage of changes..... CCM haiwezi kurudi madarakani. Wananchi wanaichukia, nchi za jirani zinaichukia na nchi za Magharibi zinaichukia kwa kuzidi kuwanyonya wananchi wa hali ya chini
Siyo wananchi wote wanaichukia ila wengi wameichoka.
 
Ningependa kujua jinsi walivyosema hiyo sentensi niliyoikoleza kwa wekundu ukichukuilia kwamba hawakuyatamka hayo maneno kwa Kiswahili, embu rudia jinsi walivyosema kwa Kiingereza!

Cyber act Mkuu...... Nimepunguza ukali kidogo manake kingereza hakina tafsida.....
 
Huyo Msomali analeta ndoto za mchana, huwezi kulinganganisha masuala ya kisiasa ya Kenya na Tanzania.

UKo sahihi.Siasa za kenya za kikabila.KANU kilikuwa chama cha makabila yote.Lakini hakikupiga vita ukabila kwa nguvu.Siasa zikaanza kulalia ukabila zaidi.Baadaye makabila makubwa yakaanza kuunda vyama vyao.
Wajaluo na jamii za makabila ya kijaluo wakaanzisha ODM.Wajaluo wote na makabila jamii za kijaluo wakatimuka KANU wakaenda ODM.

Wakikuyu na wakakalenjini wakaanzisha muungano wa Jubilee.Makabila ya wakikuyu na wakalenjini wengi wakatimukia chama cha Jubilee.KANU kimebaki na makabila madogo madogo.

Kulinganisha mambo ya Kenya na Tanzania si sawa.KANU ni KANU na CCM ni CCM.Ukabila ndio ulisambaratisha KANU
 
Huyo Msomali analeta ndoto za mchana, huwezi kulinganganisha masuala ya kisiasa ya Kenya na Tanzania.

Kwa sababu watanzania uwezo wao wakufikiri mdogo mtairudisha cm madarakani! Tutazidi Kua wamwisho kila siku kuishi kwa mazoea! Ukiichagua ccm jua tu akili haikutoshi!
 
Cyber act Mkuu...... Nimepunguza ukali kidogo manake kingereza hakina tafsida.....

Ningependa kujua jinsi hayo maneno kwa kiingereza yalisemwaje kwa maana umesema ,,hawampendi JK kwa kuwa ni mswahili" sasa ningependa kuisikia hiyo sentensi walivyoisema kwa Kiingereza, kwa maana nijuavyo mimi Watz wote au wengi wetu ni waswahili sasa kama hawampendi JK kwa kuwa ni mswahili ina maana hawawapendi Watz ndiyo maana nilipenda kujua jinsi walivyoisema hiyo sentensi kwa Kiingereza!
 
Kwa sababu watanzania uwezo wao wakufikiri mdogo mtairudisha cm madarakani! Tutazidi Kua wamwisho kila siku kuishi kwa mazoea! Ukiichagua ccm jua tu akili haikutoshi!

Mkuuu sema baadhi ya watanzania, mbona unatukosea wote?
 
Mtatengeneza uongo mpaka mkae mwaka huu lakini hamtapata mnachotaka.

anzeni kuzoea kuwa wapinzani ...hamtakaa muwe madarakani milele..Chama kimepasuka na kina nyufa kama nyumba ya udongo
 
Wakuu salama!... Kwanza naomba niwasalimu wote baada ya kutoka ban...

Katika kile kinachoonekana mafuriko ya Ukawa/Lowassa kutingisha Nchi, hali imekuwa hivyo hivyo kwa nchi za majirani na dunia nzima.

Mafuriko haya ambayo viongozi wa CCM wanayaita ni "genge la vibaka" ndio kwa sasa yameizika rasmi Chama hicho chakavu, hasa kwa mafuriko ya Mwanza, Mbeya na Arusha...

Hali hiyo imepelekea nchi ya Kenya kuweka wazi msimamo wake na kuona anguko la CCM kama KANU ilivyooanguka mwanzoni mwa miaka ya 2000 (2002)...

Msemaji na msimamizi mkuu wa shughuli za serikali Bungeni Ndg. Aden Duale kasema wazi kuwa anguko la CCM limewadia na Ukawa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi oktoba.... (Aden Duale ni majority leader bungeni)...

NB: Tafsiri hii ni pana sana hasa ukizingatia mgombea wa CCM alimuunga nani 2013 katika uchaguzi wa Kenya. Na pili urafiki wa Uhuru na viongozi wengine wa nchi majirani unazidi kutoa tafsiri pana zaidi ambayo ni dalili mbaya kwa CCM na serikali yake kuchokwa sio tu nchini hata na nchi za jirani......... Mwaka huu CCM hawana pakuchomokea....

Nilijua una akili kidogo kumbe hamna.fanya simple analysis na kujua siasa za Kenya na tz ni tofauti, hiyo ni kwa ujumla ,
pili, kenyatta wa 2002 siyo magufuli kwa uzoefu na kujulikana, Moi alikua dictator miaka 23 na chuki ilikua kubwa mno, ccm wna ukomo wa madaraka na chuki kwa CCM siyo mithili ya KANU 2002 na mwisho KANU ilikimbiwa na watu wazito wengi (quasi national leaders na tribal kingpins kutokana na siasa zao), ambao waliungana na upinzani uliokua na nguvu relatively zaidi ya wa hapa kwetu. Akina odinga, saitoti, kalonzo waliondoka wakaenda ungana na wamalwa, ngilu na kibaki siyo lowassa,guininita, mgeja, mahanga kuungana mbowe na.mbatia

Hata kama unatumika usikalie akili yako baada ya hili zoezi utakua umeipoteza kabisa
 
Back
Top Bottom