Aden Duale: CCM Itadondoka kama KANU

Aden Duale: CCM Itadondoka kama KANU

Mkuu kumbuka hata hapa hayo mambo yapo,chama cha kidini CUF,chama cha wachagaCHADEMA na sasa chama cha kaskazini! Ha ha ha ila kwa bahati nzuri kwa faida ya taifa propoganda hizo zimeshindwa na wananchi wamejua tatizo lilipo.
Mzee si umalizie tu kwamba tatizo ni Rais Kikwete.
 
UKo sahihi.Siasa za kenya za kikabila.KANU kilikuwa chama cha makabila yote.Lakini hakikupiga vita ukabila kwa nguvu.Siasa zikaanza kulalia ukabila zaidi.Baadaye makabila makubwa yakaanza kuunda vyama vyao.
Wajaluo na jamii za makabila ya kijaluo wakaanzisha ODM.Wajaluo wote na makabila jamii za kijaluo wakatimuka KANU wakaenda ODM.

Wakikuyu na wakakalenjini wakaanzisha muungano wa Jubilee.Makabila ya wakikuyu na wakalenjini wengi wakatimukia chama cha Jubilee.KANU kimebaki na makabila madogo madogo.

Kulinganisha mambo ya Kenya na Tanzania si sawa.KANU ni KANU na CCM ni CCM.Ukabila ndio ulisambaratisha KANU

Acha uongo ww kanu imtka 2002 na huko jubilee aikuwepo jubilee ni chama kpya cha siasa kilchoanza mwKa Jana apo mwanzo 2012 jubilee ilkuwa ni mungano wa urp ya ruto na tna ya kenyatta sasa wanataka uchaguz ujao waw na chama kimoja tuu ambacho ni jubilee
 
Si useme hata kizungu hujui..Utaeleweka tu.
BTW, kama ulisoma kiswahili japo kidogo,uliambiwa "Mswahili ni nani? Tuanzie hapo comrade!!

Ni kweli kiingereza changu kina ukomo kwa maana mimi lugha ya kwanza ni kiswahili, lkn kwenye sentensi yako sijaona neno swahili, kwa maana umesema ,,hawamtaki JK kwa maana ni mswahili"

Sina haja ya kusoma Kiswahili kuelewa Mswahili ni nani, mswahili ni muongeaji na mtumiaji wa Lugha ya Kiswaihili!
 
Ni kweli kiingereza changu kina ukomo kwa maana mimi lugha ya kwanza ni kiswahili, lkn kwenye sentensi yako sijaona neno swahili, kwa maana umesema ,,hawamtaki JK kwa maana ni mswahili"

Sina haja ya kusoma Kiswahili kuelewa Mswahili ni nani, mswahili ni muongeaji na mtumiaji wa Lugha ya Kiswaihili!??

Umemaliza hapo? I mean,ufahamu wako umeishia hapo? Hivi mtu akikwambia "Wewe Barbarosa Mswahili,anamaanisha unaongea kiswahili,na unatumia kiswahili? Hivyo tuu??
Basi kama ndo hivyo,hata Mrundi anaweza!!
 
Last edited by a moderator:
Umemaliza hapo? I mean,ufahamu wako umeishia hapo? Hivi mtu akikwambia "Wewe Barbarosa Mswahili,anamaanisha unaongea kiswahili,na unatumia kiswahili? Hivyo tuu??
Basi kama ndo hivyo,hata Mrundi anaweza!!

Ndiyo maana yake, hakuna maana nyingine zaidi ya hiyo ni kama vile mtu akikwambia wewe ni Mchina au wewe Ni Muhindi maana yake ni kwamba wewe ni muongeaji na mtumiaji wa lugha ya Kichina/Kihindi!

Na kama mtu ktk Urundi anaongea na kutumia Kiswahili na anajua kiswahili klk lugha nyingine yoyote ile basi pia ni Mswahili, na ndio maana kuna Wazungu hasa mapadri wanaongea Kiswahili sana watu husema yule Mzungu Mswahili!

Ndiyo maana nasema sikuona neno mswahili kwenye hayo maneno ya akina Museveni kama ulivyosema kwamba wamesema ,,hawampendi JK kwa sababu ni Mswahili", lkn kwenye kiingereza neno Mswahili halipo!
 
Kwa nini usilinganishe wakati politics of science ni ile ile.... Kila nchi lazima ipite kwenye certain stage of changes..... CCM haiwezi kurudi madarakani. Wananchi wanaichukia, nchi za jirani zinaichukia na nchi za Magharibi zinaichukia kwa kuzidi kuwanyonya wananchi wa hali ya chini

Nani kakwambia CCM inachukiwa?

Usilolijua ni usiku wa giza, Subiri 25/10 utafahamu ukweli,
 
Wakuu salama!... Kwanza naomba niwasalimu wote baada ya kutoka ban...

Katika kile kinachoonekana mafuriko ya Ukawa/Lowassa kutingisha Nchi, hali imekuwa hivyo hivyo kwa nchi za majirani na dunia nzima.

Mafuriko haya ambayo viongozi wa CCM wanayaita ni "genge la vibaka" ndio kwa sasa yameizika rasmi Chama hicho chakavu, hasa kwa mafuriko ya Mwanza, Mbeya na Arusha...

Hali hiyo imepelekea nchi ya Kenya kuweka wazi msimamo wake na kuona anguko la CCM kama KANU ilivyooanguka mwanzoni mwa miaka ya 2000 (2002)...

Msemaji na msimamizi mkuu wa shughuli za serikali Bungeni Ndg. Aden Duale kasema wazi kuwa anguko la CCM limewadia na Ukawa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi oktoba.... (Aden Duale ni majority leader bungeni)...

NB: Tafsiri hii ni pana sana hasa ukizingatia mgombea wa CCM alimuunga nani 2013 katika uchaguzi wa Kenya. Na pili urafiki wa Uhuru na viongozi wengine wa nchi majirani unazidi kutoa tafsiri pana zaidi ambayo ni dalili mbaya kwa CCM na serikali yake kuchokwa sio tu nchini hata na nchi za jirani......... Mwaka huu CCM hawana pakuchomokea....
attachment.php


Hayo ni mawazo na mtizamo wake, msema kweli ni 25/10 hukumu itatoka.

Siasa za Kenya, Burundi, Rwanda or Uganda ni zao na zinawahusu Sao kwa mazingira yake.

Hata 2010 CDM ilikuwa na mikusanyiko mikubwa tu na matokeo mliyaona.

Watanzania wapo makini sana na watatupatia kiongozi bora.
 
Back
Top Bottom