UKo sahihi.Siasa za kenya za kikabila.KANU kilikuwa chama cha makabila yote.Lakini hakikupiga vita ukabila kwa nguvu.Siasa zikaanza kulalia ukabila zaidi.Baadaye makabila makubwa yakaanza kuunda vyama vyao.
Wajaluo na jamii za makabila ya kijaluo wakaanzisha ODM.Wajaluo wote na makabila jamii za kijaluo wakatimuka KANU wakaenda ODM.
Wakikuyu na wakakalenjini wakaanzisha muungano wa Jubilee.Makabila ya wakikuyu na wakalenjini wengi wakatimukia chama cha Jubilee.KANU kimebaki na makabila madogo madogo.
Kulinganisha mambo ya Kenya na Tanzania si sawa.KANU ni KANU na CCM ni CCM.Ukabilaha ha ndio ulisambaratisha KANU
Mkuu kumbuka hata hapa hayo mambo yapo,chama cha kidini CUF,chama cha wachagaCHADEMA na sasa chama cha kaskazini! Ha ha ha ila kwa bahati nzuri kwa faida ya taifa propoganda hizo zimeshindwa na wananchi wamejua tatizo lilipo.