Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Heshima yenu wakuu!!wajamen,nina 23yrz na ni mwanafunz wa chuo flani hapa dar,niliwah kuwa na galfriend wa rika langu miaka miwil ilyopita bt niligundua sio mwaminifu kwangu so nkaamua kuachana nae,tangu nimeachane nae me nimekua m2 wa kujirusha au kutamani kutoka na wamama wa2 wazima au wadada wenye miili mikubwa,sababu yangu kubwa ya kufanya hivi ni kwamba ctaki kupata stress kama nilizozipata mwanzo.je kuna madhara ya mimi kufanya hivi wakuu maana naona imekua too much?