Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
- Thread starter
- #41
mkuu,ndio maana nkaamua kuleta hii thread hapa bcoz as time goes on,nahc kama najish2kia flani hvi,yani it's like najiona niko too much kwa hawa wa2 wa aina hii,inafikia time nakua cjifill chochote ninapokutana na wasichana ambao wa rika langu,ndo maana naona kama niko addicted mkuu.Duh Senetor! pole pole kaka,yani unamanisha huna wakudumu au huna mmoja unao wengi ukijisikia tuu unaruka na mmoja? ivi unadhani una utendea haki afya yako? sio kwa sababu ya majimama hapana wewe mwenyewe unajipenda kweli? mbona ni mdogo umri wako kwa mkorogo huo unao ufanya? kumbuka Kama ingekua tamu hiyo usingeikuta,nende nayo aste aste.