hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Baadhi ya picha za Uhakiki wa Wanachama wa ADC Dodoma leo tar. 06.08.2012, Uhakiki uliovunja rekodi kwa idadi ya Wanachama Tanzania tangu kuanza kwa Mfumo wa vyama Vingi vya Siasa nchini. Wanachama 350 walihakikiwa. ADC inatisha kama njaa ya mwaka 1932. Baada ya Dodoma safari Mtwara tar. 17.08.2012 halafu Lindi funga kazi Dar es Salaam tar. 23.08.2012. Mtaisoma kimoyomoyo.