Adam Nditi akubali Kuchezea Tanzania

Adam Nditi akubali Kuchezea Tanzania

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
4,582
Reaction score
2,783
Walioko ndani wakazane kutafuta timu nje bila kujali hadhi ya ligi.

Sio wanakua ving'ang'anizi kama kupe, na kupenda sifa za kijinga kuchezea yanga na simba.!!
 
Taarifa zilipatikana kutoka Clouds FM katika mazungumzo kati ya Maestro na Loveness ni kuwa Mchezaji wa timu ya Vijana ya Chelsea "the Blues" Adam Nditi amekubali kuchezea timu ya Taifa ya Tanzania.


Hebu tujiulize, Tanzania tunatikwa tufanyeje ili kulinda hadhi na kuvutia wachezaji wengine kama Nditi wenye uraia wa nchi zingine?



https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/447533-mchezaji-wa-chelsea-aponda-show-ya-diamond.html

kwani ile sheria ya uraia wa nchi mbili ilishapita?
 
itakua vizuri karibu kijana uitumikie nchi yako.
 
safi ila asije akaingia kwenye upuuzi wa Ngassa kuzungushwa Simba, Yanga na Azam kama mwanamke wa ngomani
 
kwani ile sheria ya uraia wa nchi mbili ilishapita?

bADO HAIJAPITA ILA SHERIA IPO KWA WATOTO AMBAO HAWAJATIMIZA MIAKA 18 HIVYO AKIFIKISHA HUO UMRI INABIDI AKANE URAIA WA NCHI MOJA, SASA SIJUI HUYO KAMANDA ANA UMRI GANI
 
Kwani jamaa ni raia wa wapi sasa hivi?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Huu ni upuuzi, tumwachie kocha aamue kama anamuhitaji haya yakufatwa na watafuta pilau hayana tija jamani.
 
Tukuze talents za vijana wadogo hawa wa Copa Coca cola jamani ili tuwe nao wengi.

La sivyo tutabakia kulialia tu
 
mkuu unataka tufanyaje tuandamane kuuunga mkono uamuzi wake, sionihaja ya kufanya chochote, nikawaida sana, yeye ninani mpaka umeona umuhimu wa kutuuliza mambo kama haya, kuna wengine malaki na malaki kuzidi yeye, hana umuhimu akae huko huko, alipoona pana mfaa
 
Binafsi siafiki kubembeleza watu kuchezea taifa lao.Huu si uzalendo hata kama nchi ina matatizo mengi yanayovunja moyo.
kwani huyo mmoja ndo atakuja kuinua kiwango cha stars!mbona tunamtolea macho namna hiyo!binafsi sina details zake na uwezo wake uko vipi ila naona kama tunamlazimisha!!
 
Kelele zote ndo hajapaa namba timu ya wakubwa (Timu A) akipata je? si itakuwa balaa hapa? huyu hata kwenye timu ya UAMSHO (Zanzibar HEROES) nina mashaka kama atapata namba
 
Adam nimechat nae jana anasema harudi ng'ooo...hehehe via watsup...tetec hazina ukwel...sim yangu haina screen shot for evidence of his ans...
 
Adam nimechat nae jana anasema harudi ng'ooo...hehehe via watsup...tetec hazina ukwel...sim yangu haina screen shot for evidence of his ans...
MTAZAMO kashamaliza yote....uzalendo ndiyo unatakiwa usimame...kama hana uzalendo...achukue muda wake...take time yake.
 
Last edited by a moderator:
Kelele zote ndo hajapaa namba timu ya wakubwa (Timu A) akipata je? si itakuwa balaa hapa? huyu hata kwenye timu ya UAMSHO (Zanzibar HEROES) nina mashaka kama atapata namba

Hahahanaha
 
Mwenye picha yake tafadhali aitupie humu, nimuone huyo kiumbe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom