Hivi malipo halali ya kulipia mizani kwa mwaka ni shilingi ngapi ?. kwani hawa maafisa vipimo wanatuchanganya vijijini,uta daiwa 18000 hadi 30000/= kwenye stakabazi ya malipo unakuta 8000/= ukihoji jibu hupati. Hii ina kuwaje wakuu au na kwenu ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.