BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,558
- 2,854
Silaha sio chombo cha Starehe/kuburudisha kinasaidia kufanya kazi ya Ulinzi na hivyo kupunguza majukumu ya Askari wetu.
Kwaajili ya kutafuta Mapato Serikali ya awamu ya tano ilipandisha ada hii toka elfu 10,000 kwa mwaka mpaka elfu 75,000. Naamini hilo ongezeko halikuzingatia mawazo ya wadau.
Kuna Mwaka jirani yangu alivamiwa, tuliweza okoa mali zake kwa kusaidiana naye kwakuwa tulikuwa na silaha. Wale vibaka walikimbia. Silaha zinasaidia kwa kuwadhibiti vibaka wadogo.
Naomba Serikali kwakuwa inatatua kero za watu,wapitie hapa warekebishe, wote tunajenga nchi yetu.
Ahsante
Pia soma > Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania
Kwaajili ya kutafuta Mapato Serikali ya awamu ya tano ilipandisha ada hii toka elfu 10,000 kwa mwaka mpaka elfu 75,000. Naamini hilo ongezeko halikuzingatia mawazo ya wadau.
Kuna Mwaka jirani yangu alivamiwa, tuliweza okoa mali zake kwa kusaidiana naye kwakuwa tulikuwa na silaha. Wale vibaka walikimbia. Silaha zinasaidia kwa kuwadhibiti vibaka wadogo.
Naomba Serikali kwakuwa inatatua kero za watu,wapitie hapa warekebishe, wote tunajenga nchi yetu.
Ahsante
Pia soma > Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania