Ada na Michango mashuleni kwa ajili ya mwaka ujao, imeagizwa kama kawaida!

Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha kwa kuptia mchango wako waalimu wanaajiriwa..walinzii,wapishi,umeme,maji,CHAKULA cha mchana nk yote haya yanahitaji michango toka kwa wazaziii. bila jazba tujiulize sisi wenye watoto shuleni je?ndani ya mwezi mmoja huu wa DEC kila kitu kitakua tayari ili kuziba hilo pengo la michango ya wazazi?....... Ninacho kiona mm nkwamba hawa watoto hawata pata chakula mchana,walinzi hawatokuwepo, na wapishiiii..masomo ya sayansi hawatofundishwa kwani waalimu hawaandaliwi kwa mwezi mmoja,maji na umeme vtakatwaa.Elimu bure inawezekana lakini kwa mwezi mmoja huu bila mikakati thabiti haliwezekanii..mzazi mwenzangu tujipange jinsi ya kuwawezesha watoto katika kipindi hiki cha mpito kwani watakua nyumbani saa 2:30 mchana januari kwani shule hakuna chakula na twisheni anza kutafuta kwani waalimu wa masomo ya sayansi wanajiandaa kuondoka kwani wanaona malipo yatasumbua....nimaoni yangu tuuu.naomba kusilishaaa.
 
Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha kwa kuptia mchango wako waalimu wanaajiriwa..walinzii,wapishi,umeme,maji,CHAKULA cha mchana nk yote haya yanahitaji michango toka kwa wazaziii. bila jazba tujiulize sisi wenye watoto shuleni je?ndani ya mwezi mmoja huu wa DEC kila kitu kitakua tayari ili kuziba hilo pengo la michango ya wazazi?....... Ninacho kiona mm nkwamba hawa watoto hawata pata chakula mchana,walinzi hawatokuwepo, na wapishiiii..masomo ya sayansi hawatofundishwa kwani waalimu hawaandaliwi kwa mwezi mmoja,maji na umeme vtakatwaa.Elimu bure inawezekana lakini kwa mwezi mmoja huu bila mikakati thabiti haliwezekanii..mzazi mwenzangu tujipange jinsi ya kuwawezesha watoto katika kipindi hiki cha mpito kwani watakua nyumbani saa 2:30 mchana januari kwani shule hakuna chakula na twisheni anza kutafuta kwani waalimu wa masomo ya sayansi wanajiandaa kuondoka kwani wanaona malipo yatasumbua....nimaoni yangu tuuu.naomba kuwasilishaaa.
 
nimeipenda sana post yako kiukweli huku kwenye elimu watanzania wanapigwa changa la macho hicho tunachoambiwa bure sio bure isipokua ni kuwakatisha tamaa walimu wanaofanya kazi kwa mtindo wa kujitolea kufidia pengo ambalo serikali imeshndwa kujaza lakini wanasiasa kwa kuchezea akili za watu wanasema elimu ni bure sio kweli hata kidogo walichopaswa kufanya si kutangaza kua elimu ni bure bali kupeleka hela ya kugharamia elimu
 
nimeipenda sana post yako kiukweli huku kwenye elimu watanzania wanapigwa changa la macho hicho tunachoambiwa bure sio bure isipokua ni kuwakatisha tamaa walimu wanaofanya kazi kwa mtindo wa kujitolea kufidia pengo ambalo serikali imeshndwa kujaza lakini wanasiasa kwa kuchezea akili za watu wanasema elimu ni bure sio kweli hata kidogo walichopaswa kufanya si kutangaza kua elimu ni bure bali kupeleka hela ya kugharamia elimu

Wanaojitolea wanalipwa na nani kabla!
 
Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha kwa kuptia mchango wako waalimu wanaajiriwa..walinzii,wapishi,umeme,maji,CHAKULA cha mchana nk yote haya yanahitaji michango toka kwa wazaziii. bila jazba tujiulize sisi wenye watoto shuleni je?ndani ya mwezi mmoja huu wa DEC kila kitu kitakua tayari ili kuziba hilo pengo la michango ya wazazi?....... Ninacho kiona mm nkwamba hawa watoto hawata pata chakula mchana,walinzi hawatokuwepo, na wapishiiii..masomo ya sayansi hawatofundishwa kwani waalimu hawaandaliwi kwa mwezi mmoja,maji na umeme vtakatwaa.Elimu bure inawezekana lakini kwa mwezi mmoja huu bila mikakati thabiti haliwezekanii..mzazi mwenzangu tujipange jinsi ya kuwawezesha watoto katika kipindi hiki cha mpito kwani watakua nyumbani saa 2:30 mchana januari kwani shule hakuna chakula na twisheni anza kutafuta kwani waalimu wa masomo ya sayansi wanajiandaa kuondoka kwani wanaona malipo yatasumbua....nimaoni yangu tuuu.naomba kuwasilishaaa.
Wewe unaonekana hata huko shule hujaenda,tatizo la walimu mwisho mwaka huu.
 
Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha kwa kuptia mchango wako waalimu wanaajiriwa..walinzii,wapishi,umeme,maji,CHAKULA cha mchana nk yote haya yanahitaji michango toka kwa wazaziii. bila jazba tujiulize sisi wenye watoto shuleni je?ndani ya mwezi mmoja huu wa DEC kila kitu kitakua tayari ili kuziba hilo pengo la michango ya wazazi?....... Ninacho kiona mm nkwamba hawa watoto hawata pata chakula mchana,walinzi hawatokuwepo, na wapishiiii..masomo ya sayansi hawatofundishwa kwani waalimu hawaandaliwi kwa mwezi mmoja,maji na umeme vtakatwaa.Elimu bure inawezekana lakini kwa mwezi mmoja huu bila mikakati thabiti haliwezekanii..mzazi mwenzangu tujipange jinsi ya kuwawezesha watoto katika kipindi hiki cha mpito kwani watakua nyumbani saa 2:30 mchana januari kwani shule hakuna chakula na twisheni anza kutafuta kwani waalimu wa masomo ya sayansi wanajiandaa kuondoka kwani wanaona malipo yatasumbua....nimaoni yangu tuuu.naomba kuwasilishaaa.

Kama ulikopa mahali ukitegemea kulipa kutokana na michango ya kitapeli kwa wanafunzi basi imekula kwako. Kama ulikuwa hujamalizia nyumba yako unayojenga kwa kipato cha kuumiza wazazi basi itabaki hapo kwenye lenta. Hebu nikuulize japo nyie waalimu mnadhani sisi wazazi ni wajinga, kila mwaka unakuta wanafunzi wakijiunga na shule wanaagizwa waje na majembe, sijui hela ya dawati, fyekeo na nk. Mbona wakimaliza shule hatuoni wakiondoka navyo? Nilitarajia kwakuwa kila mwaka vinakuja vipya basi viwe vingi kadiri miaka inavyosonga mbele lakini hata vilivyoko havitoshi mkondo mmoja. Mmefikia mahali eti hamtaki jembe, fyekeo la zamani, kama nia yenu ni vifaa inakuwaje hamtaki used?

Unakimbilia kusema masomo ya sayansi nk, ni sh ngapi wanalipwa walimu wa hayo masomo kila mmoja tuangalie wingi wa wanafunzi kulingana na michango yao. Ni kwanini mlazimishe kukamua wazazi kwa vipato mnavyoenda kuwapa nyumba ndogo zenu? Yeye rais ameshajua uwizi mnaoufanya hivyo hela zitapatikana za kuwalipa hao waalimu wa sayansi kama unavyotaka na sio kuchangisha michango ya kihuni. Kama unaona ualimu haulipi, hamia kwenye ujasiriamali sio kugeuza shule kama eneo la ubepari uchwara.
 
Kama ulikopa mahali ukitegemea kulipa kutokana na michango ya kitapeli kwa wanafunzi basi imekula kwako. Kama ulikuwa hujamalizia nyumba yako unayojenga kwa kipato cha kuumiza wazazi basi itabaki hapo kwenye lenta. Hebu nikuulize japo nyie waalimu mnadhani sisi wazazi ni wajinga, kila mwaka unakuta wanafunzi wakijiunga na shule wanaagizwa waje na majembe, sijui hela ya dawati, fyekeo na nk. Mbona wakimaliza shule hatuoni wakiondoka navyo? Nilitarajia kwakuwa kila mwaka vinakuja vipya basi viwe vingi kadiri miaka inavyosonga mbele lakini hata vilivyoko havitoshi mkondo mmoja. Mmefikia mahali eti hamtaki jembe, fyekeo la zamani, kama nia yenu ni vifaa inakuwaje hamtaki used?

Unakimbilia kusema masomo ya sayansi nk, ni sh ngapi wanalipwa walimu wa hayo masomo kila mmoja tuangalie wingi wa wanafunzi kulingana na michango yao. Ni kwanini mlazimishe kukamua wazazi kwa vipato mnavyoenda kuwapa nyumba ndogo zenu? Yeye rais ameshajua uwizi mnaoufanya hivyo hela zitapatikana za kuwalipa hao waalimu wa sayansi kama unavyotaka na sio kuchangisha michango ya kihuni. Kama unaona ualimu haulipi, hamia kwenye ujasiriamali sio kugeuza shule kama eneo la ubepari uchwara.

umesema vizuri mkuu, huyu atakuwa headmaster na nyumba yake itakuwa kwenye lenta anasingizia walimu wa sayansi wakati wapo wasio na ajira.
 
Kitu kama hujui ni usiku wa giza. Shule inawafanyakazi Wa kutosha ambao sio waajiriwa wa serikali wanalipwa mishahara yao kupitia iyo michango mfano walinzi, maselemara waashi wapishi, makatibu Kimuktasi madereva wafanya usafi kama wafagia Vyoo na stationary kwa ujumla wake hupatikana kupitia hiyo michango
 
Kitu kama hujui ni usiku wa giza. Shule inawafanyakazi Wa kutosha ambao sio waajiriwa wa serikali wanalipwa mishahara yao kupitia iyo michango mfano walinzi, maselemara waashi wapishi, makatibu Kimuktasi madereva wafanya usafi kama wafagia Vyoo na stationary kwa ujumla wake hupatikana kupitia hiyo michango

bora na wenyewe waajiriwe na serikali kuliko hiyo michango. Watumie hata sungusungu.
 
Jamani, kuna mtu anayeweza kuwe kwenye hizi threads mifanoya michano inayozungumziwa? ila kuweka tarakimu humu watu wankwa na mazungumzo ya juuu tu. Data please!!!
 
Jamani, kuna mtu anayeweza kuwe kwenye hizi threads mifanoya michano inayozungumziwa? ila kuweka tarakimu humu watu wankwa na mazungumzo ya juuu tu. Data please!!!

kiti na meza tsh 80,000
mlinzi tsh 10,000
ujenzi choo tsh 40,000
ujenzi bwalo tsh 50,000
ukarabati miundombinu tshs 20,000
boresha elimu tsh 50,000
ujenzi wa bweni tsh 20,000
tahadhari tshs 10,000
chakula, mpishi, fagio, fyekeo, jembe jipya, ndoo 2, mchango wa graduation, ada, ada ya mitihani, ream paper, na mingine nimeisahau nasubiri report form.
 
shiva maina big up bro umeongea kitu kimenigusa na hii ishu itatuumiza akina sisi hohehahe wao watt wao wako safe michango na tution km kawa
 
Lakin pia shule nying hazina walimu wa sayans na hisabati na hakuna muujiza wa kuwa pata,, jukum la kutafuta walimu wa muda lilikua kwa wakuu wa shule,, na wali fanya hivi kupitia michango ambayo leo inafutwa,,, watakao umia ni vijana wetu Ila wao wanao soma St Mary hakuna tatzo

Mkuu upo sahihi 100%
 
Rais ana nia nzuri lkn katika hili ni mapema sana. Kama wachangiaji mtakumbuka mwezi Julai bajeti za Wizara na Mamlaka za serikali za mitaa waliamliwa wapunguze bajeti zao kwa 40%. Hiyo Capitation huwa hawa haipelekwi kwa ukamilifu.

Je hilo fungu la kuwalipa walinzi, walimu ya hisabati na sayansi wanaojitolea, maji na uendesha wa ofisi.

Basi aitishe bunge ili kupitisha supplementaly budget itakayo accomodate gharama hizo.

Nilidhani angeanza Julai 2015, baada ya bunge lake kupitisha bajeti.

Walimu walio agiza watoto hiyo michango wako sahihi, mpaka waraka utakapotolewa.
 
Kwa wasiojua undani wa elimu yetu ya kinyonge watafurahi sana but kama kweli wanauchungu na watanzani inakuaje ada kwa shule binafsi zinapanda kila kukicha? Mwalimu akijilipa posho mwenyewe inakua nongwa wakati mbunge anayelipwa mamilioni kila mwezi, awapo bungeni analipwa posho hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom