Angry Bird
JF-Expert Member
- May 3, 2016
- 514
- 487
Kumbe tuko wengi tuliokuwa na imani naye. Najiuliza ni njaa gani waliyo nayo? Mbona wako kwenye nafasi nzuri sana kuliko watanzania walio wengi? Sijaona sababu zaidi ya ubinafsi na umimi mpaka anakana anachoamini na kuaminisha wengine wengi kwamba ndio ukweli.Njaa mbaya sana..nmeamin njaa haina mtoto wa mkubwa....anna nlikuwa nakuona kama mama yangu ambaye hawezi niacha mwanae nikafa na njaa jangwani lakin kwasasa umeonyesha wazi wew ni mchawi wa maendeleo yangu.