Hapo jibu lipo wazi, kama Rais alisema hatateua waoinzani katika seeikali yake, nidhahili kuwa walioteuliwa wote ni wanachama wa ccm regardlesa wamesajiliwa chama cha upinzani. kinachoangaliwa hapo ni dhamira. ila kwa upande mwengine watanzania tuache uongo na unafiki, Rais anateua watu anaoona wanafaa kwa maslahi ya taifa siyo ya chama kwa hiyo mm sioni tatizo kama mtu kateuliwa kutoka chama cha upinzani na siyo mtu anayepinga sera za maendeleo
*MASWALI TATA YANAYO ULIZWA JUU YA UTEUZI WA ANNA MGHWIRA NAFASI YA RC NA MAJIBU YAKE*
Lazima Awe Mjumbe Wa Chama Tawala Yaani CCM Ngazi Ya Mkoa Je? Atabaki ACT Au Itakuwaje?
Jibu
Hapana katiba ya CCM imeweka wazi kuwa atakuwa mjumbe kama ni mwanachama wa Ccm, pia hata spika atakuwa mjumbe kama ni mwanachama wa ccm, hivyo hata kuwa mjumbe wa kamati kuu sababu sio mwanachama wa Ccm lkn ataendelea nafasi yake ya ukuu wa mkoa.
Lazima Asimamie Ilani Ya Chama Tawala CCM Ngazi Ya Mkoa, Je? Atasimamia Ilani Yake (ACT) Au Ya CCM?
Jibu.
Ilani ya vyama vyote huwa Ni kwa maslahi ya wananchi, ilani ya vyama vyote ukisoma zimeelekeza nguvu kuletea wananchi maendeleo, hivyo sio kosa kutekeleza yale ambayo yanalenga kuleta maendeleo kwa wananchi.hata kama akifanya kwa kufuata ilani ya CCM .pia hata shikishwa bendera ya Ccm wala ilani ya chama cha mapinduzi.
Je? Bado Atasimama Kidete Kumkosoa Bosi Wake (JPM)?
Jibu
Dah bahati mbaya hata pata nafasi kumkosoa waziwazi sababu atakuwa na nafasi ya kumwambia moja kwa moja sabababu wakuu wa mikoa wana nafasi kubwa ya kuwasiliana na Mh. Raisi.
Je? Atajiuzulu Uenyekiti Wa ACT Taifa?
Jibu.
Hapana hata jiuzulu sababu nafasi aliyopata ni yakisiasa, inamruhusu awe mwenyekiti wa chama bado, ila kuna nafasi ambazo angetakiwa ajiuzulu kama ukatibu sio nafasi ya kisiasa, ila professionalism.
Baada Ya Kitila Mkumbo (GS), Anna (RC) Nani Atafuata Kupewa Ulaji Na JPM Kutoka ACT?
Jibu.
Hakuna ajuaye sababu maamuzi ni ya Mh Raisi.
Ni Kweli Zitto Zuberi Kabwe Ni Pandikizi La CCM Na Ndiye Mrithi Wa Profesa Muhongo Nishati Na Madini?
[HASHTAG]#Mwenye[/HASHTAG] Jibu.
Zitto sio pandikizi, zitto ni kiongozi wa ACT WAZALENDO. ukiwa pandikizi maana yake Ni puppet (kibaraka)sifa kuu ya kibaraka Ni kutii yote unayoambiwa na aliyekupandikiza, lakini Zitto amekuwa akiikosoa na kuishauri serekali kwa maslahi ya watanzania amekuwa "active opposition leader zaidi hata ya wapinzani wengine, ukitaja wapinzani imara Tundu Lisu, msigwa, mnyika,, mbowe huwezi acha mtaja Zitto.
Zitto ndiye aliyepinga kwa nguvu mswada wa habari, na alifukuzwa bungeni na hakushiri vikao vya bajeti alitaka kuichambua akiwa nje, alitaka kamatwa, Zitto ndiye aliyepinga kukamatwa kwa Lisu bila kufuata sheria, zitto ndiye aliyepinga mbowe kutaja kushiriki madawa ya kulevya, Zitto ndiye alisemea watanzania kuhusu njaa bila uwogo, bila kupepesa macho hakuna kibaraka Au pandikizi la Ccm wa namna hii.
Kuhusu Zitto kushika nafasi ya mhongo, Waziri WA nishati na madini, hakuna ukweli, sababu hayo Ni maamuzi ya Raisi.
Jambo linalotuumiza watanzania ni political culture yetu na wala sio katiba yetu ya nchi , kuwa mtu akiteuliwa ukuu wa mkoa, katibu mkuu, basi ni Ccm hapana, mfano Raila odinga kiongozi mpinzani chama cha ODM leo kenya aliwahi teuliwa kuwa Waziri wakati akiwa mpinzani, lakini hadi leo Ni mpinzani mkubwa, na anagombea uraisi kwa ushawishi mkubwa.
ACT WAZALENDO, ni chama pinzani imara ingawa ndio Chama kinapitia mitihani ya kutazamwa kwa mtazamo tofauti sababu ya uteuzi, uteuzi sio dhambi na utakuwa Ni unafiki siku zote unapiga kelele siku unapewa nafasi ukafanye alafu ukatae ili ubaki kupiga kelele, hawa hawa wanaokukosoa, watakukosoa utakapoendelea piga kelele kuwa kwanini hukwenda kufanya ulipo teuliwa,
Hivyo jambo la msingi, na la maana Ni kwenda kuwatumikia watanzania, kuliko kukataa.
Mfano. Leo msigwa anateuliwa kuwa Waziri wa mambo ya nje atakataa ?, kwanini akatae wakati anaenda fanya yale ambayo anayapigia kelele, hivyo akatae ili aendelee kuwa mkosoaji na sio mtekelezaji na mfanyaji ??
Chama cha ACT WAZALENDO, kipo imara kwa maslahi ya wananchi wote.
Imetolewa na
Abdul Omary Nondo
huu utetezi hauna maana yoyote baada ya mama mgwira kujuvua uwanachama wa ACT leo mchana.*MASWALI TATA YANAYO ULIZWA JUU YA UTEUZI WA ANNA MGHWIRA NAFASI YA RC NA MAJIBU YAKE*
Lazima Awe Mjumbe Wa Chama Tawala Yaani CCM Ngazi Ya Mkoa Je? Atabaki ACT Au Itakuwaje?
Jibu
Hapana katiba ya CCM imeweka wazi kuwa atakuwa mjumbe kama ni mwanachama wa Ccm, pia hata spika atakuwa mjumbe kama ni mwanachama wa ccm, hivyo hata kuwa mjumbe wa kamati kuu sababu sio mwanachama wa Ccm lkn ataendelea nafasi yake ya ukuu wa mkoa.
Lazima Asimamie Ilani Ya Chama Tawala CCM Ngazi Ya Mkoa, Je? Atasimamia Ilani Yake (ACT) Au Ya CCM?
Jibu.
Ilani ya vyama vyote huwa Ni kwa maslahi ya wananchi, ilani ya vyama vyote ukisoma zimeelekeza nguvu kuletea wananchi maendeleo, hivyo sio kosa kutekeleza yale ambayo yanalenga kuleta maendeleo kwa wananchi.hata kama akifanya kwa kufuata ilani ya CCM .pia hata shikishwa bendera ya Ccm wala ilani ya chama cha mapinduzi.
Je? Bado Atasimama Kidete Kumkosoa Bosi Wake (JPM)?
Jibu
Dah bahati mbaya hata pata nafasi kumkosoa waziwazi sababu atakuwa na nafasi ya kumwambia moja kwa moja sabababu wakuu wa mikoa wana nafasi kubwa ya kuwasiliana na Mh. Raisi.
Je? Atajiuzulu Uenyekiti Wa ACT Taifa?
Jibu.
Hapana hata jiuzulu sababu nafasi aliyopata ni yakisiasa, inamruhusu awe mwenyekiti wa chama bado, ila kuna nafasi ambazo angetakiwa ajiuzulu kama ukatibu sio nafasi ya kisiasa, ila professionalism.
Baada Ya Kitila Mkumbo (GS), Anna (RC) Nani Atafuata Kupewa Ulaji Na JPM Kutoka ACT?
Jibu.
Hakuna ajuaye sababu maamuzi ni ya Mh Raisi.
Ni Kweli Zitto Zuberi Kabwe Ni Pandikizi La CCM Na Ndiye Mrithi Wa Profesa Muhongo Nishati Na Madini?
[HASHTAG]#Mwenye[/HASHTAG] Jibu.
Zitto sio pandikizi, zitto ni kiongozi wa ACT WAZALENDO. ukiwa pandikizi maana yake Ni puppet (kibaraka)sifa kuu ya kibaraka Ni kutii yote unayoambiwa na aliyekupandikiza, lakini Zitto amekuwa akiikosoa na kuishauri serekali kwa maslahi ya watanzania amekuwa "active opposition leader zaidi hata ya wapinzani wengine, ukitaja wapinzani imara Tundu Lisu, msigwa, mnyika,, mbowe huwezi acha mtaja Zitto.
Zitto ndiye aliyepinga kwa nguvu mswada wa habari, na alifukuzwa bungeni na hakushiri vikao vya bajeti alitaka kuichambua akiwa nje, alitaka kamatwa, Zitto ndiye aliyepinga kukamatwa kwa Lisu bila kufuata sheria, zitto ndiye aliyepinga mbowe kutaja kushiriki madawa ya kulevya, Zitto ndiye alisemea watanzania kuhusu njaa bila uwogo, bila kupepesa macho hakuna kibaraka Au pandikizi la Ccm wa namna hii.
Kuhusu Zitto kushika nafasi ya mhongo, Waziri WA nishati na madini, hakuna ukweli, sababu hayo Ni maamuzi ya Raisi.
Jambo linalotuumiza watanzania ni political culture yetu na wala sio katiba yetu ya nchi , kuwa mtu akiteuliwa ukuu wa mkoa, katibu mkuu, basi ni Ccm hapana, mfano Raila odinga kiongozi mpinzani chama cha ODM leo kenya aliwahi teuliwa kuwa Waziri wakati akiwa mpinzani, lakini hadi leo Ni mpinzani mkubwa, na anagombea uraisi kwa ushawishi mkubwa.
ACT WAZALENDO, ni chama pinzani imara ingawa ndio Chama kinapitia mitihani ya kutazamwa kwa mtazamo tofauti sababu ya uteuzi, uteuzi sio dhambi na utakuwa Ni unafiki siku zote unapiga kelele siku unapewa nafasi ukafanye alafu ukatae ili ubaki kupiga kelele, hawa hawa wanaokukosoa, watakukosoa utakapoendelea piga kelele kuwa kwanini hukwenda kufanya ulipo teuliwa,
Hivyo jambo la msingi, na la maana Ni kwenda kuwatumikia watanzania, kuliko kukataa.
Mfano. Leo msigwa anateuliwa kuwa Waziri wa mambo ya nje atakataa ?, kwanini akatae wakati anaenda fanya yale ambayo anayapigia kelele, hivyo akatae ili aendelee kuwa mkosoaji na sio mtekelezaji na mfanyaji ??
Chama cha ACT WAZALENDO, kipo imara kwa maslahi ya wananchi wote.
Imetolewa na
Abdul Omary Nondo
Hahaha dah njaa mbaya sana kaka.Kabudi alipiga kelele kuhusu katiba mbovu weee akabwatabwata mpaka akawa bwatax weee sasa Magufuli akampa palepale anapobwatabwata leo ukimuuliza kuhusu hiyo katiba mbovu na ipi ni nzuri uipendekeze anakwambia kuwa Magufuli anapita mulemule kwenye katiba aliyokuwa akiipigania hivyo hakuna haja tena ya kuipigania.
Humphrey Polepole naye akapiga yowe kususu vyeo vya wakuu wa mikoa na wilaya wee akabwatabwata weeeee Magufuli akampa hichohicho cheo cha ukuu wa wilaya na akaufyata kwelikweli! Yan akaukunja mkia ukakunjika haswaaa.
Huyu mama Anna alipiga kelele kuhusu mwenge wa Uhuru weee akasema hauna maana kwa watanzania Mungu siyo Athumani kesho kutwa ataupokea atauheshimu atauimbia "kuwasha mwengeee.... kuwasha mwengeee na kuuweeekaaaa Kilimanjaroooo.... umulikeee hata wanafiki.. uleteee tumainiii.... " kisha atawakabidhi ma-dc wake waukimbize Kilimanjaro nzima na atatoa neno la kuupongeza vilevile.
Pole kama wewe una utumbo wa plastiki nijuavyo hakuna kiumbe hana njaaNjaa mbaya sana..nmeamin njaa haina mtoto wa mkubwa....anna nlikuwa nakuona kama mama yangu ambaye hawezi niacha mwanae nikafa na njaa jangwani lakin kwasasa umeonyesha wazi wew ni mchawi wa maendeleo yangu.
Njaa mbaya sana..nmeamin njaa haina mtoto wa mkubwa....anna nlikuwa nakuona kama mama yangu ambaye hawezi niacha mwanae nikafa na njaa jangwani lakin kwasasa umeonyesha wazi wew ni mchawi wa maendeleo yangu.
Ilani ya Uchaguzi inakuzwa kisiasa tu; haina nguvu yoyote kisheria. Ilani ina kazi ya kushawishi kura; chama kinachoshinda kinapata mwongozo wa ilani kutengeneza sera na sheria, au hata kutekeleza ilani kama kuna mwanya huo kupitia sheria iliyopo tayari. Yote haya yanaonyesha kuwa ilani inapata uhai na uhalali pale tu inapopitishwa KISERIKALI kuwa sheria. Jibu la huyu Nondo lilitakiwa kuwa Mghwira atatekeleza sheria, siyo ilani. Pili, Odinga hakuwahi kuwa waziri akiwa mpinzani. Mara ya kwanza kuwa waziri alikuwa Katibu Mkuu wa KANU, na baadaye akiwa chama kimoja na Kibaki, na baadaye tena akiwa katika serikali mseto.Lazima Asimamie Ilani Ya Chama Tawala CCM Ngazi Ya Mkoa, Je? Atasimamia Ilani Yake (ACT) Au Ya CCM?
Jibu.
Ilani ya vyama vyote huwa Ni kwa maslahi ya wananchi, ilani ya vyama vyote ukisoma zimeelekeza nguvu kuletea wananchi maendeleo, hivyo sio kosa kutekeleza yale ambayo yanalenga kuleta maendeleo kwa wananchi.hata kama akifanya kwa kufuata ilani ya CCM...........
mfano Raila odinga kiongozi mpinzani chama cha ODM leo kenya aliwahi teuliwa kuwa Waziri wakati akiwa mpinzani, lakini hadi leo Ni mpinzani mkubwa
Lazima Asimamie Ilani Ya Chama Tawala CCM Ngazi Ya Mkoa, Je? Atasimamia Ilani Yake (ACT) Au Ya CCM?
Jibu.
Ilani ya vyama vyote huwa Ni kwa maslahi ya wananchi, ilani ya vyama vyote ukisoma zimeelekeza nguvu kuletea wananchi maendeleo, hivyo sio kosa kutekeleza yale ambayo yanalenga kuleta maendeleo kwa wananchi.hata kama akifanya kwa kufuata ilani ya CCM...........
mfano Raila odinga kiongozi mpinzani chama cha ODM leo kenya aliwahi teuliwa kuwa Waziri wakati akiwa mpinzani, lakini hadi leo Ni mpinzani mkubwa
Mkuu muache mama apige kazi tafadhaliNjaa mbaya sana..nmeamin njaa haina mtoto wa mkubwa....anna nlikuwa nakuona kama mama yangu ambaye hawezi niacha mwanae nikafa na njaa jangwani lakin kwasasa umeonyesha wazi wew ni mchawi wa maendeleo yangu.
Sawa mkuu ila ni maajabu kwa Mwenyekiti wa chama cha upinzani na aliyewahi kugombea uraisi uchaguzi uliopita anateuliwa kuwa RC. Ili uwe RC kwa mkoa kama huo lazima uwe kada kwelikweli wa chama tawala, labda wangempeleka mikoa isiyo na upinzani mkubwa.Mna akili ndogo sana.
Haalafu roho zinawauma sana ndugu zetu.
Maendeleo hayana chama acha mama akawapiganie wana Kilimanjaro.