PreGE2025 ACT- Wazalendo: Tungesusia uchaguzi, CCM wangefanya sherehe, Chama pekee kinaikosesha usingizi CCM ni ACT- Wazalendo

PreGE2025 ACT- Wazalendo: Tungesusia uchaguzi, CCM wangefanya sherehe, Chama pekee kinaikosesha usingizi CCM ni ACT- Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, kwenye ziara yake katika mkoa wa Ruvuma wilayani Tunduru ambapo amesema kuwa "Kama ACT Wazalendo wangesusia Uchaguzi wa 2025, CCM wangefurahia sana hadi kuchinja ng'ombe."

 
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, kwenye ziara yake katika mkoa wa Ruvuma wilayani Tunduru ambapo amesema kuwa "Kama ACT Wazalendo wangesusia Uchaguzi wa 2025, CCM wangefurahia sana hadi kuchinja ng'ombe."

View attachment 3318362
Kipindi CUF ina nguvu Polisi walikuwa busy na CUF, sahivi CHADEMA ina nguvu polisi wapo busy na CHADEMA wala hawajui kama kuna ACT
 
Ninyi MaACT mnachelewesha MABADILIKO ya KWELI ya DEMOKRASIA..mngeungana na wenzenu CDM kwenye No reforms no Election movement, huyu Bi Chura angesalimu mapema kabisa..
Shida yenu nyingine huwa mnaamini mnaakili kuliko Watanzania wote, mkiongozwa na yule "Mfalme" wenu wa Kigoma
Ila HIMA unganeni na wenzenu kutaka REFoRMS kwa maslahi mapana ya Mama Tanzania
 
Ninyi MaACT mnachelewesha MABADILIKO ya KWELI ya DEMOKRASIA..mngeungana na wenzenu CDM kwenye No reforms no Election movement, huyu Bi Chura angesalimu mapema kabisa..
Shida yenu nyingine huwa mnaamini mnaakili kuliko Watanzania wote, mkiongozwa na yule "Mfalme" wenu wa Kigoma
Ila HIMA unganeni na wenzenu kutaka REFoRMS kwa maslahi mapana ya Mama Tanzania
Hawa ni chawa wa mama ni waroho wa madaraka km ccm
 
Back
Top Bottom