ACT Wazalendo kumuenzi Nyerere

ACT Wazalendo kumuenzi Nyerere

karama kaila

Senior Member
Joined
Jan 30, 2015
Posts
122
Reaction score
60
ImageUploadedByJamiiForums1433772242.475903.jpg
Nchi kurudi kwenye misingi.
Tabora na historia ya kura Tatu 1958.
Tunamuenzi Nyerere kwa vitendo
Ukumbi ulipofanyika Halmashauri kuu ya TANU ndiyo utafanyika Halmashauri kuu ya ACT-Wazalendo
Uwanja aliohutubia Nyerere ndiyo ataohutubia Zitto Kabwe,Hamad Yussuf,Anna Mghwira,Shaban Mambo,Samson Mwigamba,Msafiri Mtemelwa,Juma Saanane,Habib Mchange,Mohammed Massaga Massaga,Richard Sabini,Afande Sele na viongozi wengine wengi wa ACT-wazalendo.
Maazimio ya Halmashauri kuu yatasemwa hapo Kama alivyofanya Nyerere.
 
Kamwe huwezi kumuenzi Mwalimu kwa kuwa msaliti...Mwalimu Nyerere katika uhai wake wote hapa duniani hakuwahi kuwa msaliti hata kwa sekunde moja. Wasaliti wa ACT Usaliti acheni usanii wenu.
 
Kweli mmechanganyikiwa...

Supreme Leader Ayatolahhh
 
Hawa hawajielewi,mnajifanya kuienzi TANU wakati TANU ndiyo mzazi wa CCM,muelewekeje nyie mapwagu?
 
ACT-wazalendo ilizaliwa,ikakaakaa ikafa.
Hii ndio historia ya ACT-wazalendo.
 
Dhambi zenu mnataka kumwituka Mwl, Nyerere akika mna lahana nyinyi wote fanyani siasa watu tutawaoneni kuwa mnamuenzi Mwl. Nyerere nasiyo kujikombakomba na kujisifu kumuenzi kumbe nanyi puppets tu, msilete umalaya mdogo mdogo kwa Mwalimu kuweni na adaubu tena mkome kumbebesha dhambi yenu.
 
Wanamuenzi kwa kuwa ukigeu geu cha kupenda ccm wakijidai
 
Acheni kuwa MAZWAZWA usaliti wa Kabwe uko wapi? Wekeni ushahidi coz vijana wengi mnawatumikia mabwana zenu bila kuchuja mambo mnapelekwapelekwa tu.
 
Vijana wengi mnavuta ugoro hasa wachadema mwenye ushahidi wa usaliti alete
 
Chama chenyewe kimejaza wazembe ndio kiwe kiboko ya wazembe?

Kama kiongozi wa chama kamkana Mungu hadharani katengua ndoa iliyounganishwa na Mungu we unategemea nini hapo. Amkanaye bwana duniani naye atamkana ivyoivyo mbinguni sio maneno yangu haya Padre slaa kazi anayo atubu.
 
Back
Top Bottom