Jambo Jema
Senior Member
- Mar 20, 2025
- 109
- 189
Mfumo wa vyama vingi wa mwaka 92' umewekwa ili kuwafanya Ccm iendelee kuwa madarakani.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye ni Mtia nia nafasi ya Urais katika Uchaguzi wa Oktoba mwaka huu Dorothy Semu anasema kuwa wao hawakubaliani na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Umeshajenga au unaishi kwa mama bado?!SSH mitano tena👿
Kama upinzani wenyewe hawaeleweki ww unadhani nn kifanyike?Umeshajenga au unaishi kwa mama bado?!
Kwakweli.Sawa. Lakini wao wana mbinu gani mbadala. Kama wataingia kwenye uchaguxi kwa hali hii wategemee yale yale ya 2019, 2020 na 2024.
Hahaà. Yale Yaleee.Huyo mwakani ni mkuu wa mkoa kama mama mgwira na queen sendiga..
Sasa no reform, no election ataielewa vipi?!
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye ni Mtia nia nafasi ya Urais katika Uchaguzi wa Oktoba mwaka huu Dorothy Semu anasema kuwa wao hawakubaliani na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Basi mkubaliane na ccm no katiba mpyaKiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye ni Mtia nia nafasi ya Urais katika Uchaguzi wa Oktoba mwaka huu Dorothy Semu anasema kuwa wao hawakubaliani na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kweli asee. Ila ni hivo tu wadau kutaka maslahi binafsi.. kingetengenezwa chama kimoja tu Cha opposition alafu tuone Kama Hawa mbuzi wataonja Tena mema ya nchi.Kama upinzani wenyewe hawaeleweki ww unadhani nn kifanyike?
Hilo hata NCCR Mageuzi wanasema. Pamoja na ukweli huo ( wanaujua zaidi kwa sababu wamekuwa wakishiriki chaguzi zote baada ya 2020. Nadhani walipata ushindi mmoja tu Zanzibar kwa mbinde). Wanakataa strategy ya No Reform No Elections...ukisikiliza maelezo yake utaona kwamba wanaunga mkono Chadema.
..kwa mfano, anasema mabadiliko yaliyofanyika ni hadaa, wanataka mabadiliko ya kweli.
Hilo hata NCCR Mageuzi wanasema. Pamoja na ukweli huo ( wanaujua zaidi kwa sababu wamekuwa wakishiriki chaguzi zote baada ya 2020. Nadhani walipata ushindi mmoja tu Zanzibar kwa mbinde). Wanakataa strategy ya No Reform No Elections.
Amandla..
Kwangu mimi shida ya " No Reforms No Elections" ni ambiguity yake. Kwangu mimi hawajajieleza vizuri ina maana gani. Kwa kifupi ni kuwa wengi wangependa kujua kama Chadema watashiriki kwenye uchaguzi kama hapatakuwa na reforms. ACT-Wazalendo wansema watashiriki lakini watalinda demokrasia. Chadema wanatakiwa wa clarify hili maana watu wanahitaji kujitayarisha kugombea kama watashiriki. Kama hawatashiriki watachukua hatua gani kuhakikisha kuwa haufanyiki ( kama ndio nia yao). Muda uliobaki ni mfupi na wanatakiwa ku simplify hoja yao. Hiyo na pamoja ya kuweka wazi cut off date ni lini. Kuwa ikifika tarehe fulani ndio tutafanya uamuzi...Act wana "operation linda demokrasia."
..Chadema wana "No Reforms No election."
..wote wanasema watashawishi vyama vyenzao, viongozi wa dini, mashirika yasiyo ya kiserikali, na nchi marafiki.
..naamini wote wana MALENGO yanayofanana.
Kwangu mimi shida ya " No Reforms No Elections" ni ambiguity yake. Kwangu mimi hawajajieleza vizuri ina maana gani. Kwa kifupi ni kuwa wengi wangependa kujua kama Chadema watashiriki kwenye uchaguzi kama hapatakuwa na reforms. ACT-Wazalendo wansema watashiriki lakini watalinda demokrasia. Chadema wanatakiwa wa clarify hili maana watu wanahitaji kujitayarisha kugombea kama watashiriki. Kama hawatashiriki watachukua hatua gani kuhakikisha kuwa haufanyiki ( kama ndio nia yao). Muda uliobaki ni mfupi na wanatakiwa ku simplify hoja yao. Hiyo na pamoja ya kuweka wazi cut off date ni lini. Kuwa ikifika tarehe fulani ndio tutafanya uamuzi.
Amandla...
Bottom line ni constituency tofauti zinazogombewa. ACT Wazalendo sio tishio kwenye kiti cha urais hata kama Zanzibar yote itawapa wao kura. CDM wao nguvu yao ni bara na hivyo ndio tishio kwenye suala la urais na uongozi wa Bunge...ACT wamesema watashiriki baada ya kutathmini reform zitakazofanyika.
..suala la ACT kushiriki limeachiwa Kamati ya Chama ya viongozi.
..Ni kwamba watu hawafuatilii wanachozungumza ACT, lakini kuna misimamo mikali inatoka haswa upande wa Zanzibar.
..Pia watu hawafuatilii mjadala na mabishano kati ya ACT na serikali kuhusu " kura ya mapema. "
..Zanzibar wana utaratibu wa kupiga kura kwa siku mbili. Siku ya kwanza ni kwa ajili ya wasimamizi na vyombo vya dola. Siku ya pili ni kwa ajili ya wananchi wa kawaida. ACT wanapinga utaratibu huo wakiamini kura siku ya kwanza ni kwa ajili ya kushindilia makura ya CCM.