Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,288
- 33,893
Hivi vyama vinafanana Falsafa zake na husaidiana kupambana na CHADEMA na kwa kuwa ni vyama vya kijamaa, kwa nini chama kidogo cha kijamaa (ACT) kisijiunge na chama Kikubwa cha kijamaa (CCM) na kuwa sehemu ya chama hicho?
Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.
Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.