Nguruvi3
Tatizo lako unasukumwa na mawazo yako yalichanganyika na chuki binafsi,ushauri wangu kwako usiwalishe watu maneno ambayo hayajasemwa.
ACT-Tanzania ni chama kidogo sana kuliko vyama vyote unavyovijua chakushangaza nyie wafuasi wa Chadema povu linawatoka,lakini siwashangai hata CUF mlikuwa mnasema ni CCM B leo vipi?Unafiki ni kitu kibaya sana mara bendera ina nyota hichi chama ni cha kiislamu zile zile sera za CCM mmezibeba.
Nguruvi3 wewe ni katika "great thinker" lakini kwa ulichoandika hapo juu kajipange upya....