ACT-Tanzania na Msingi wa Utu

ACT-Tanzania na Msingi wa Utu

Ww haupo tz au na ww ulifungiwa kwenye box habari za mujini hujui act ni chama cha kizalendo namini kitaleta mageuzi tena makubwa
Vuwa gamba vuwa gwanda vaa uzalendo

Msemo wa Nape huu, nanyi ACT pia mnautumia?
 
Mnaona watu ni wajinga sana eti eh?

hatuoni watu ni wajinga,,,,katika kuishi chini ya msingi wa "utu" ambao mwenezi amefanunu hapo juu katu hatupaswi kuona watu ni wajinga,,bali tunapaswa kuona kila wakti binadamu anhutaji kujifunza,,,kwa kufanya hivyo ndipo atakuwa "mtu"....wewe si mjinga ila kuna haja ya kujifunza...

 
Mbona sijasikia mkitoa pole kwa mlezi wenu wa chama kwa kuondokewa na mama??
 


hatuoni watu ni wajinga,,,,katika kuishi chini ya msingi wa "utu" ambao mwenezi amefanunu hapo juu katu hatupaswi kuona watu ni wajinga,,bali tunapaswa kuona kila wakti binadamu anhutaji kujifunza,,,kwa kufanya hivyo ndipo atakuwa "mtu"....wewe si mjinga ila kuna haja ya kujifunza...

Kama mwenezi alivyofafanua wakati inaonekana mwenezi na wewe ni mtu mmoja maana mawazo na akili zenu zinafanana...
 
Mkuu sijasikia Tamko lenu ama pole za Msiba wa Mama yetu Mpendwa ambaye Mwanawe ni Mlezi wenu ACT

Mkuu ningekuwa kwenye pc, ningeweka link. Nimeshawahi kuleta uzi hapa nikihoji "Hivi hakuna tunachoweza zaidi ya siasa za matamko" utafute uusome.
 


hatuoni watu ni wajinga,,,,katika kuishi chini ya msingi wa "utu" ambao mwenezi amefanunu hapo juu katu hatupaswi kuona watu ni wajinga,,bali tunapaswa kuona kila wakti binadamu anhutaji kujifunza,,,kwa kufanya hivyo ndipo atakuwa "mtu"....wewe si mjinga ila kuna haja ya kujifunza...


hiki chama chenu cha wasaliti kitakufa hivi punde,kimebaki chama cha JF kama kilivyokuwa ccj!
 
Nguruvi3

Tatizo lako unasukumwa na mawazo yako yalichanganyika na chuki binafsi,ushauri wangu kwako usiwalishe watu maneno ambayo hayajasemwa.

ACT-Tanzania ni chama kidogo sana kuliko vyama vyote unavyovijua chakushangaza nyie wafuasi wa Chadema povu linawatoka,lakini siwashangai hata CUF mlikuwa mnasema ni CCM B leo vipi?Unafiki ni kitu kibaya sana mara bendera ina nyota hichi chama ni cha kiislamu zile zile sera za CCM mmezibeba.
Nguruvi3 wewe ni katika "great thinker" lakini kwa ulichoandika hapo juu kajipange upya....

mkuu, nguruvi3 kwa kiswahili, maana yake ni "jogoo watatu" Ndio maana mimi nilivyoana mambo si mambo, nimeamua kukubali yaishe. Nguruvi3 ni Nguruvi3.
 
Last edited by a moderator:
wapi huko kinapokubalika? Toka lini wasaliti wakakubalika? Soon mtasahaulika.

good comment hawa wasaliti wanao simamia misingi hasa ulioletwa na mleta uzi, watasahaulika karibuni tu! wala hamna haja ya kuwa na wasi wasi.
 
wapi huko kinapokubalika? Toka lini wasaliti wakakubalika? Soon mtasahaulika.

good comment hawa wasaliti wanao simamia misingi hasa ulioletwa na mleta uzi, watasahaulika karibuni tu! wala hamna haja ya kuwa na wasi wasi.
 
By mcfm
Msemo wa Nape huu, nanyi ACT pia mnautumia?

kwan chama cha nape na hako kachama kapya ka act vina tofauti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom