ACT-Tanzania na Msingi wa Utu

Hahaha hiki nacho ni chama kumbe.....!!!!!!!!! Stupidity mnafikiri kuwa na utitiri wa vyama ndio democracy....
 
Machadema bana ha ha ha mbona povu linawatoka hivyo kwa chama kichanga kama ACT je CCM mtaiweza kweli hali yakuwa ACT inawameza taratibu?? Ha ha ha Kweli Chagadema cha babu majanga na DJ Marienge
 
Machadema bana ha ha ha mbona povu linawatoka hivyo kwa chama kichanga kama ACT je CCM mtaiweza kweli hali yakuwa ACT inawameza taratibu?? Ha ha ha Kweli Chagadema cha babu majanga na DJ Marienge
Mkuu Ally Kanah , hivi kuna nini cha kumfanya mtu atukane kwenye uzi huu? kwa kweli inasikitisha ila mimi siku hizi sina mengi ya kusema, ninachosisitiza kila siku ni kwamba "na tufanye tufanyalo, ila tujue tu kwamba mwisho wa ubaya aibu!"

Kadhalika nakusihi kama unakusudia "CHADEMA" Usiwaite "CHAGADEMA" vinginevyo labda kama unakusudia kitu kingine.Hata ukiona unafanyiwa ubaya, jitahidi kulipiza wema tu! japo ni kazi ngumu kufanya hivyo na inahitaji moyo thabiti ila wale wenye moyo na kifua ndio wanaoweza kuwa viongozi wema na bora, hivyo jilazimishe kujijenga katika tabia hiyo huenda baadae ukawa kiongozi mzuri na ukasaidia sana.
 
Baada ya msiba na propaganda za kipumbavu toka Lumumba, leo ACT wanakuja na propaganda ileile chini ya kuvuli cha UTU!!!!

Sijui Mh. Zitto anajisikiaje akiona kifo cha Mama'ke kinakuwa mtaji wa siasa na yeye anakaa kimya namna hii!!!??

Kwahiyo pia ACT mnataka kutuambia kwamba UTU ni kutumia vifo kama mtaji!? Mbona kabla ya kifo cha Mama yetu mlikuwa hamjaja na hizi drama uchwara za utu!!??
 
AciT-Tanzania kutegemea msiba ili muonekane ni chama mnajidanganya nyie mnajulikana ni Yuda Branch hamna hata tone la utu kama natania someni na kutafakari kazi zenu.
1.Masalia program
2.P7
3.Riporti ya uchunguzia
4.Waraka wa ki M1,M2 ndo utajua ushetani unavyoigiza una utu
 
Ndugu Mwisho wa ubaya aibu! haya!


Ndugu, Mi sielewi hapa hii Tz inaelekea wapi!? Watu wanakuja na maneno wasiyojua hata maana yake!!

Kama sikosei hili ni bandiko lao la kwanza kuhusu MISINGI ya chama, iweje waanze na msingi wa UTU ambao tangu mateso ya Mama yetu pale MOI hadi umauti ccm walikuwa wamevalia njuga, na Misingi ipo mingi lakini eti wamechagua UTU!!?

Wanatuhubiria UTU wakati huo huo wanakiuka UTU kwa Mama yetu!!? Au wanatufanya hamnazo!?
 
Naona betlehem anatumia id's zake zote mbili. Moja inaposti ingine inalike interchangeably.

Fun huh!
 
Naona betlehem anatumia id's zake zote mbili. Moja inaposti ingine inalike interchangeably.

Fun huh!

katika uzi huu, wewe ulichoona cha kujadili ni betlehem? ok sawa! maana waswahili husema akili ni nywele nyembamba........
Ila mwisho wa ubaya.......!
 

mkuu kama hueleweki vizuri! unasema ACT-Tanzania ina misingi mingi, hebu tuambie iko mingapi!, itaje!, na utuambie wewe umeiona wapi?
 
Kama ACT ingalikuwa na watu makini,ingeshakataa support ya ccm.
Vinginevyo,tunashindwa kuwatofautisha!
 
πŸ˜›uke:πŸ˜›uke:πŸ˜›uke:

ACT = CCM's Left hand
 
Kama ACT ingalikuwa na watu makini,ingeshakataa support ya ccm.
Vinginevyo,tunashindwa kuwatofautisha!

huwa inasapotiwa na ccm!?na support hiyo inahusiana na misingi ya ACT-Tanzania, na hasa huu msingi wa utu unaojadiliwa hapa !?leo?
 
mkuu kama hueleweki vizuri! unasema ACT-Tanzania ina misingi mingi, hebu tuambie iko mingapi!, itaje!, na utuambie wewe umeiona wapi?


Ni wapi hunielewi!? Kwani hili group la wasariti lina msingi mmoja tu wa UTU!? Rejea mada kuu uliyopost, inasema "tutakuwa tunafafanua 'MISINGI' ya chama chetu kwa kadri tutakavyoweza". Au umesahau hata uliyoyaandika mwenyewe?
 
πŸ˜›uke:πŸ˜›uke:πŸ˜›uke:

ACT = CCM's Left hand

Hivi CCM ni left party! na ACT-Tanzania ni left vile vile? kama ndio hivyo, vitakuwa vinafanana.Lakin hivi wewe unaipinga ccm kwa kuwa ni left? halaf kumbe vyama vya left ndio vyenye msingi wa utu!? ok sawa.
 

Naomba elimu kuhusu hichi chama, hivi wanzilishi wake wametokea sayari ya Mars au ni waswahili wenzetu? Sasa kama ni waswahili wenzetu wanajitofautisha vipi na viongozi wa vyama utitiri tulivyonavyo kwa sasa? Je wamewahi kuwa wanachama wa chama chochote cha kisiasa? Naomba kiongozi yeyote wa ACT-Tanzania anipe ufafanuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…