Act like a lady think Like a man

Act like a lady think Like a man

baptist

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
434
Reaction score
279
Hii notion imewakaa sana wadada , wanawake wa siku hizi wanaviburi hao na kujidai kwamba wanataka haki sawa na kwamba tofauti yao na sisi ni jinsia tu otherwise kila kitu wanaweza fanya...

Je inakaaje hapo wana jf tudiscuss
 
me naamini kuwa wadada wanatakiwa kufanya kila kitu ilimradi wawaheshimu waume zao.
 
Tudiscuss nini wakati ukweli upo wazi wanaume wa siku hizi mmebakia uanaume kende tu vinginevo mngevaa sketi na kupakwa wanja na lip stick(Tnagi na hapo baadhi yenu nyusi wananyoa na kujipaka carolight!)

1. Mwanaume unachuna ushaona wapi? Lazima BUZI lako la kike LIKUKALIE KICHWANI si wapenda vya bure weyee!!!!!?

2.Mwanaume unaogopa majukumu na kutunza, kukimbilia videnti na minority women!!!!!!!! Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!

3.Mwanaume unambwelambwela mpaka unaonekana huna maana yoyote katika jamiii, umebakia uanaume kende zako tu! Lazima demu wako athink like man mchezooo! Akizubaa jahazi lazima lizame atiii!!!!!!!!!!!!

IGENI MABABU ZENU! MWANAUME ALIKUWA SHUPAVU, ASIEOGOPA MAJUKUMU NA TRUE LEADER WA MWANAMKE!!!!!!!! AKITOKEA DUME LA MBEGU SKETI ZOTE KIMYAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!! HAYA MAMBO NI TRADE OFF! UKILA VYA MWANAMKE UJUE NDO UNAUZA BIRTH RIGHT YAKO YA UANAUME!!!!!!!!!!

We unazani WAKE ZA MACHACHE, ROSTI TAMU, LOWAHASA, JEIKEI ET AL WANA THINK LIKE MEN!!!!!!!!!!!!!!???? THUBUTUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!! Pale ni mwendo wa kunyenyekea ndoa majogooo hadi majogooo! Wakijamba wanaambiwa pole hubby! Pole sanaaa! Tumpigie Dr.? Maybe its something serious! Jamba wewe hoe hae kama kulala sebuleni usiku uliobaki hakujakuhusu na mkeo kulala kavaa mask! LOL!
 
lara 1 umepinda wewe

Ingawa umesema ukweli

Wanaume wapo wachache sana siku hizi

Wamebaki wakiime tu weeengi mtaani
 
Last edited by a moderator:
Hayo ni matokeo ya haki sawa kwahiyo hamna wa kulalamika hapa,idadi ya vijana wanaopenda kulelewa inaongezeka kadri siku zinavyozidi kwenda mbele na mwanamke akimpata wa kumchuna anamchuna kweli kweli anakwangua mpaka mafuta ili apate na ziada ya kumlea boyfriend wake ndo maisha yanavyoenda,lakini ni bora upate anayekuchuna maana utapiga kazi ili kumridhisha na ukiwa na familia utakuwa na uwezo wa kuhudumia familia yako kuliko ukapenda kupewa na wanawake utalemaa kumbuka pesa ya mwanamke inatoka na masimango juu hata kama hatakuambia atamsimulia shoga yake then utaonekana mwanaume suruali,wito wangu kwa vijana tupige kazi na kutafuta wanawake wa hadhi yetu usitake kutafuta visu wkt hela yako ya kuunga unga!
 
Tudiscuss nini wakati ukweli upo wazi wanaume wa siku hizi mmebakia uanaume kende tu vinginevo mngevaa sketi na kupakwa wanja na lip stick(Tnagi na hapo baadhi yenu nyusi wananyoa na kujipaka carolight!)

1. Mwanaume unachuna ushaona wapi? Lazima BUZI lako la kike LIKUKALIE KICHWANI si wapenda vya bure weyee!!!!!?

2.Mwanaume unaogopa majukumu na kutunza, kukimbilia videnti na minority women!!!!!!!! Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!

3.Mwanaume unambwelambwela mpaka unaonekana huna maana yoyote katika jamiii, umebakia uanaume kende zako tu! Lazima demu wako athink like man mchezooo! Akizubaa jahazi lazima lizame atiii!!!!!!!!!!!!

IGENI MABABU ZENU! MWANAUME ALIKUWA SHUPAVU, ASIEOGOPA MAJUKUMU NA TRUE LEADER WA MWANAMKE!!!!!!!! AKITOKEA DUME LA MBEGU SKETI ZOTE KIMYAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!! HAYA MAMBO NI TRADE OFF! UKILA VYA MWANAMKE UJUE NDO UNAUZA BIRTH RIGHT YAKO YA UANAUME!!!!!!!!!!

We unazani WAKE ZA MACHACHE, ROSTI TAMU, LOWAHASA, JEIKEI ET AL WANA THINK LIKE MEN!!!!!!!!!!!!!!???? THUBUTUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!! Pale ni mwendo wa kunyenyekea ndoa majogooo hadi majogooo! Wakijamba wanaambiwa pole hubby! Pole sanaaa! Tumpigie Dr.? Maybe its something serious! Jamba wewe hoe hae kama kulala sebuleni usiku uliobaki hakujakuhusu na mkeo kulala kavaa mask! LOL!

Uwiiiii umemalizaaaaaa..... ngoja nikalale nimkumbatie mwanaume wa ukwee saizi! Wa uongo utawaona watakavopovuka kesho.....
 
Kwani siyo kweli hawawezi??? Au kuweza kila kitu ndiyo Kiburi??
 
Back
Top Bottom