Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..
Naomba kuwasilisha ujumbe wakuu!
Naomba kuwasilisha ujumbe wakuu!