we unamuonaje osama bin ladden he is very handsome what about the jakal calos handsome too lakini kwa kucheza na damu za watu hao jamaa ni nomaAnaonekana very humble usoni! Kumbe ni muuaji! Watu wenye sura humble kama 'dhaifu' ni wa kuwaogopa sana! Huwa mioyo yao ni ya kishetani sana!
Sikujua mgogoro huu una UDINI pia! No wonder, Ukishasikia CDM na wanaojiita wanaharakati ujue UDINI in the house! Haya endeleeni na harakati zenu za kuchukua nchi!
ACP Msangi akiwa mkuu wa USA alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha RPC Ntobi kuhamishiwa mkoa wa Mara.
View attachment 57745
Mapovu yasikutoke mkuu ebu cheki hapo nani anataabika
Fanya Utafiti kwanza kabla ya kuleta ujumbe kama huu ktk blog...mimi nawashangaa sana watanzania hivi ni kwanini tuna penda kuwa na Tabia za kizushi??????????? unajua uzushi unaleta usumbufu mkubwa kama kweli kamanda kahusika huyu aliyeleta huu ujumbe alikuwa wapi?? acheni uzishi hauna ukweli wowote
All of them are in difficult position! But why?
Picha zote zina wagonjwa wa kuumwa naturally na wale wa kutengenezewa ugonjwa. Hali zote hizo mbili hazikubaliki. Tusianze siasa sehemu isiyotakiwa siasa. Badala yake tungeshughulikia root cause ya haya yote ili kwa pamoja tuijenge Tanzania bora.Mkuu umeangalia hiyo picture vizuri? Au hauna macho nn mkuu? Wengi hawana hata muhudumu mmoja wa kuwaangalia tena wamelala chini
Huyo mwingine full ma AC wauguzi kaa mia
Nawakumba sana marehemu wote mmoja wapo alikuwa mtoto wa mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mzee Kileo akijulina Babuu mwingine mtoto wa Mzee Masumai mwingine kibosho akiitwa Joseph.Wote kwa pamoja walishikwa maeneo ya PPF wazima wa afya baadaye wazazi walipowafuatilia wakaambiwa wamepelekwa kituo cha polisi USA jioni tukapewa taarifa wameshafariki Arusha ikazizima kamanda Ntobi akakimbia wanahabari muda mfupi akahamishiwa mkoa wa Mara wakati huo ACP Msangi alikuwa askari wa cheo cha chini sana hakuguswa na zoezi la kuhamishwa.
Sawa tu acha apumzike apo aone na wengine wanajiskiaje.Alah? wao tu walipwe ela nyingi.kwani tunaolipwa laki 5 hatufanyi kazi?Chadema itetee haki kwa wote.kuna waalimu 210,000.
Wafanyakazi wa serekali kibao, madokta, madkta. Kazi ni kazi.atuwezi fanya kazi moja wote ila lengo mwishoni wote tupate ela.wanatuulia ndugu zetu wanataka utajiri wa fasta.
Waende ata freemason basi.wachukue time........Tuache kuwa na akili mgando.Serekali ibanwe itumie ela vizuri,ila na sisi kila mmoja afanye kazi ila taifa liendelee.No lelemama.hela ya bure imetoka wapi? Mnaona wachina?
Piga kazi sana ila kidogo.baadae maendeleao.Watanzania tunajua sana kuongea na kuchangia.aliye na point nzuri kazini hewa. Low production.na serekali dhaifu atutaki. Tunataka madikteta, sha choka na lawama za kijinga!
Mkuu umeangalia hiyo picture vizuri? Au hauna macho nn mkuu? Wengi hawana hata muhudumu mmoja wa kuwaangalia tena wamelala chini
Huyo mwingine full ma AC wauguzi kaa mia
yaani haya majamaa polisi ni majinga sana, kwani maisha yao mengi ni ya shida sana, lakini nashangaa wanavyokomaa na issue za wananchi wakati uhalifu umewashinda, natangaza vita na polisi kweli atakaeingia kwenye kilengeo ama zake ama zangu, ni washenzi sana, waliopanga kwenye nyumba uraiani wafukuzeni ...jamani!!!acp msangi akiwa mkuu wa usa alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha rpc ntobi kuhamishiwa mkoa wa mara.
yaani haya majamaa polisi ni majinga sana, kwani maisha yao mengi ni ya shida sana, lakini nashangaa wanavyokomaa na issue za wananchi wakati uhalifu umewashinda, natangaza vita na polisi kweli atakaeingia kwenye kilengeo ama zake ama zangu, ni washenzi sana, waliopanga kwenye nyumba uraiani wafukuzeni ...jamani!!!
Usiku wa tukio lilomkuta ndugu Dr. Stephen Ulimboka ulikuwa wapi? Na je kuna shahidi yeyote atakayethibitisha hili? Ndugu Salim kituo chako cha kazi ni wapi?
Na je gari lako ni aina gani? Je katika kituo chako ni magari mangapi yapo? Na je katika vituo vyote vya polisi dsm kuna escudo ngapi nyeusi zimekamatwa.
Na je unaweza kukana uvumi huu kuwa una mkono nyuma ya tukio la dr ulimboka na je ni kweli unachukulia mgomo huu kidini zaidi ya kimaboresho katika sector ya afya.
WanaJF nakamilisha mahojiano na mtu wa ndani ya familia yake hapa nitawapa majibu punde haya mengine yake.
Kamwe ubaya haufichiki nawe Mokira Muhimbili ulikuwa unawasiliana na nani?
Aluta continua
Wewe nyosha maneno acha kukurupuka wewe Mwanaharakatihuru tazama hapo kwenye red
Kwani yeye anaishi wapi? Familia yake iko wapi (wazazi, kaka, dada etc) Kama kweli ana miliki hilo shamba nani anakaa kwenye hilo shamba? Kama imedhibitika ni yeye na wakampangia kuwa kwenye hiyo kamati-now we can confirm this was real planned from top. Na kama kweli yeye ndie alikwenda kumuhoji Dr. Ulimboka inawezekana alitaka kupima Dr. anajua/kumbukumbu gani hasa. Swali ni je watanzania watamwacha huyu mtu aendelee kuishi maisha yake kawaida tu? Naona yule aliyembambikia mtoto wa Mengi madawa yakulevya bado anadunda na cheo chake. Kwakweli tusipoamka sasa sidhani kama yanayokuja mbeleni tutaweza kuyahimili.