Hujakosea mkuu! tena ni mama mmoja ila baba tofauti...ila nahisi huyo dada alikuwa anamhonga mihela huyo jamaa marehemu na marehemu akawa anapeleka mapenzi kwa wasichana wengine...chezea mahabu niue...ripUnataka kuniambia huyu dada ni kabila la kina ufoo osaro...???hatare sana
Hujakosea mkuu! tena ni mama mmoja ila baba tofauti...ila nahisi huyo dada alikuwa anamhonga mihela huyo jamaa marehemu na marehemu akawa anapeleka mapenzi kwa wasichana wengine...chezea mahabu niue...rip
Hivi saa aliyovaa Willy ni yake au ya Rose, au zimefanana?
Kama vile unamfahamu huyo dada alikuwa anafanyakazi ICTR alikuwa anendesha gari kibabe sana.mume wake alishafariki siku nyingi.
Ndiyo Yalivyo Ma Mama Ya Kichaga.Huwa Yana Sura Ya Kazi Na Bonge La Mwili Alafu Miguu Miembambaaa,,, Kwi Kwi Samahan Watan Wangu
Na ndio maana huwa wanachagua "softies" wakiona una misimamo na mkunja ndita wanakimbia!!!wajua ile #physique yake inaonesha tu ukimuangalia kwa umakini, ila ndio hivyo mkuu ashamlambisha mdau beto za kutosha kisa mapenzi.
Hivi saa aliyovaa Willy ni yake au ya Rose, au zimefanana?
Juzijuzi huyu mdada alimtishia polisiKama vile unamfahamu huyo dada alikuwa anafanyakazi ICTR alikuwa anendesha gari kibabe sana.mume wake alishafariki siku nyingi.
![]()
![]()
Kweli hii saa ni ileile
chezea MMachame weye
![]()
![]()
Kweli hii saa ni ileile
chezea MMachame weye