sisya
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 263
- 96
Kijana mmoja mfanyabiashara wa aliminiamu wiliadi bewasi ameuwawa kwa kuchomwa kisu na mpenzi wake maeneo ya moshono.mpenzi wake anaitwa Rozi ndosi,picha ya marehemu hii hapa chini pamoja naya muuaji
Sahihi: Marehemu anaitwa Wilbard Dewasi. Haijajulikana kwa uhakika kama huyo mwanamke ndie aliemuua. Lakini jina lake sio Rose Ndosi, ila huyo pichani anaitwa Pauline.
Sahihi: Marehemu anaitwa Wilbard Dewasi. Haijajulikana kwa uhakika kama huyo mwanamke ndie aliemuua. Lakini jina lake sio Rose Ndosi, ila huyo pichani anaitwa Pauline.