Acheni wenye elimu zao walipwe mamilioni

Acheni wenye elimu zao walipwe mamilioni

mashirika makubwa tz kwa rasilimali yanahusisha: NMB, CRDB, NSSF, PPF, Dangote*, Acacia, Tanga Cement, Twiga Cement, SSB, MeTL, IPP, NHC, TIB n.k. embu angalia performance then suggest wakuu wake walipweje!
Private sector its ok, hapa tunazungumzia mashirika ya umma, huwez demand mshahara kwa kulinganisha private wanalipwaje wakati perfomance yako iko poor, nssf na ppf still huwez sema wanaperform may b kwa kuangalia uwekezaj ambao still ukilinganisha wanachopata na jinsi wanavyo tumia bado xana mkuu
 
Kusoma xana sio kwenda oxford hao wanaolipwa mil 40 nina uhakika tungesoma chuo au darasa moja ningewaacha mbali acha uvivu wa kufikiri au hao wanaochukua mil 4o n tanzania one au
 
Private sector its ok, hapa tunazungumzia mashirika ya umma, huwez demand mshahara kwa kulinganisha private wanalipwaje wakati perfomance yako iko poor, nssf na ppf still huwez sema wanaperform may b kwa kuangalia uwekezaj ambao still ukilinganisha wanachopata na jinsi wanavyo tumia bado xana mkuu

hayo mashirika ya umma yaliyopo hapo hayategemei hata cent kutoka serikalini. NSSF ni 2.9 trillion asset fund, PPF ni 2.3 trillion. wana-make hundreds of billions of surpluses every year. hamna tofauti kubwa na benki za NMB na CRDB with assets of 3.1 trillion & 3.6 trillion respectively. mishahara ya wakurugenzi CRDB (kwa mfano) ni mara mbili ya mishahara ya wakurugenzi (NSSF). mkurugenzi wa tawi CRDB analipwa sawa na mkurugenzi mkuu PPF. tatizo watu wanayakuza sana haya mambo tofauti na uhalisia. halafu kwa akili za kawaida, ulitaka 2.9 trillion fund manager alipwe mshahara kiasi gani?
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Kusoma havard au oxford hakumaanishi kwamba wewe ni competence, kuna watanzania wamesoma degree ya kwanza UDSM au Mzumbe wakifika ulaya kusoma masters wanakuwa more competence kuliko wanafunzi wa oxford au havard, kuna watu wanajiita ma expert toka nje wakifika bongo wanaishia kufundishwa kazi na watanzania mifani ipo ukiitaji. Unavyoongelea university maana yake mwanafunzi muhitimu anaweza kufanya kazi sehem yeyote duniani, ila kinachotofautisha chuo cha nchi moja na nyingine ni miundombinu ya ufundishaji, ubora wa vitendea kazi, namna wanavyofanya tafiti, namna ya ufundishaji n.k lakini mitaala ya vyuo vikuu duniani huwa inafanana na ndio mana wanaita university.
Nikirudi kwenye u competence, nafikiri ili mtu awe competence anaitaji uzoefu wa kutosha kuliko aina ya chuo sababu uzoefu ndio una mfanya mtu awe bora kwenye maeneo mbalimbali ya kazi kuliko aina ya chuo.
Kuna watanzania wengi wamesoma nje ya nchi lakini wanaporudi hawana tofauti kwenye ubora na mwanafunzi aliesoma chuo kama UDSM au Mzumbe, kinachowatofautisha ni lugha namna ya kujieleza plus confidence.
Kutokujiamini ndio tatizo miongoni mwa watanzania hadi wanaonekana sio bora katika kazi na vyeo mbalimbali kwenye hizo taasisi.
 
hayo mashirika ya umma yaliyopo hapo hayategemei hata cent kutoka serikalini. NSSF ni 2.9 trillion asset fund, PPF ni 2.3 trillion. wana-make hundreds of billions of surpluses every year. hamna tofauti kubwa na benki za NMB na CRDB with assets of 3.1 trillion & 3.6 trillion respectively. mishahara ya wakurugenzi CRBD (kwa mfano) ni mara mbili ya mishahara ya wakurugenzi (NSSF). mkurugenzi wa tawi CRDB analipwa sawa na mkurugenzi mkuu PPF. tatizo watu wanayakuza sana haya mambo tofauti na uhalisia. halafu kwa akili za kawaida, ulitaka 2.9 trillion fund manager alipwe mshahara kiasi gani?

Atakuambia milioni 9 kama Magufuli.

Mtu huwezi kuendesha taasisi yenye kutengeneza mabilioni ya shilingi halafu umlipe milion 15.

Huko ni kuchochea wizi.
 
TZS 15,000,000.00
-free house
-usafiri
-matibabu
-Posho kiasi
Hataki aende UN akaombe kazi huyo hatufai kuwa mtumishi wa Umma tena kwa nchi ambayo watu wanashindia mlo mmoja kwa siku
Hivi wewe unafanya kazi au uliishia drs7 na sasa hutaki watu walipwe vizuri baada ya kusoma kwa muda mrefu na kuwa think tanks za wanakofanyia kazi? acheni wivu. Mmeambiwa classes ziko all over the world.
 
kama unalipwa laki 5 kwa mwezi lazima upate stress kidogo ukisikia mil 40

Ila kuna mlinzi wa sekta binafsi anakula elfu 90 anavimba hatari kwa mkata majani anayekula elfu 40 kwa mwezi

Yote maisha!
 
Just rembember without a teacher tusingekuwa na Phd ya Oxfodi kwani primary secondary sindo tulipita tukapata akili za kwenda phd walimu hawana ac kazini wala kwenye gari ww mwenye phd ac everywhere ss kati yako na mwalimu nae ana deserve a raise wakati mazingira ya kazi kwanza magumu achana na changamoto nyingine. nashauri mil 40 zishuke hadi 5 hv ili tugawane umaskini na tuheshimiane na kazi tunazofanya bila kijali mishahara.
 
Ni kwel walimu wathaminiwe sana ki ukwel wanatutoa mbal hasa walimu na chekechea serikal iwaangalie sana
 
Kuna wakati nilikuwa ninapokea mshahara kiduchu sana. Lakini niliupaangilia hivyo hivyo tukawa tunaishi. Baadaye ghafla nikaenda kufanya kazi mahali pengine ambapo mshahara ulikuwa mara kumi zaidi. Katika ule mwezi wa kwanza fedha nyingi ilibaki. Lakini miezi iliyofuata haukutosha kwa kuwa mipango ilibadilika. Nilianza ujenzi na tena kusomesha kwenye shule nzuri. Hali ilirudi almost kama mwanzo kwa maana mwisho wa mwezi huna hata senti. Kwa hiyo ni kweli hakuna fedha nyingi. Zikiwa nyingi labda huyo mtu hana mipango yo yote. Nawasilisha.
 
itafikia kipindi kusoma sana kutaonekana sio mpango tena.
 
itafikia kipindi kusoma sana kutaonekana sio mpango tena.
Usome kwa malengo. Kama unasoma tu ili upate digrii unaweza kulia. Kwanza soma kwa lengo la kujiari na pia soma fani ambayo utauzika. Sasa wewe unakwenda chuo kikuu kusoma historia na maigizo, unataka uajiriwe na nani hata kama utatoka na first class?
 
Unakuta watu wamekaa wanafurahia eti haiwezekani mtu apokee mil.40 halafu mwalimu laki tatu , ukimuuliza huyo mtumishi ametumia gharama gani kupata taaluma yake utakuta kalipa ada mil. Moja na laki tano kwa mwaka mwenzako unayemlalamikia kalipa ada mil.

Hamsini kwa mwaka tena kasoma oxford, havard nk. Vyuo vinavyotambulika ulimwenguni , Popote anaajirika ulimwenguni. Ukimpa organization aiendeshe inakuwa efficiently and effectively. Mtu unamkuta kasoma open univers. Kutwa anasoma past paper hiyo competence ataitoa wapi .

Acheni wivu.
Naheshimu mawazo ya yako...
Ila riziki hutolewa na Mungu...
Kuna jamaa nilisoma nae shule msingi Arusha na Iringa Mwisho STD 7...Hakuendelea...
Leo anawatuma kazi watu wenye Masters na CPA
Makusanyo yake kwa siku ni kati ya mil 38 mpaka 44
 
Hivi hao wa 40ml.si ndio waliosoma kwa fedha za ufisadi? Hawa hawana moyo wa huruma kwa maskini watanzania.Zaidi kiingereza tu ndicho wanachojivunia.
 
Back
Top Bottom