Acheni serikali ishugulike na dk Mwaka.!

Acheni serikali ishugulike na dk Mwaka.!

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,274
Tumekuwa taifa ambalo mtu anawadanganya watu nakuwa tajiri. Akina mwaka wapo wengi na madhara yao kwa taifa nimakubwa sana. Serikal inasomesha watu more than 5yr kupata good Dk's alafu anakuja mtu hata hana punje ya udaktar anajiita dk natunamuamin! Kama sio tumelogwa basi taifa linashida ya watu wake kupiga madogoli.
 
Bado Wengine Wengi Nchi Hii Wanaofanana Na Mwaka. Kila Siku Kwenye TVs Matangazo Ya Kitapeli
 
Tumekuwa taifa ambalo mtu anawadanganya watu nakuwa tajiri. Akina mwaka wapo wengi na madhara yao kwa taifa nimakubwa sana. Serikal inasomesha watu more than 5yr kupata good Dk's alafu anakuja mtu hata hana punje ya udaktar anajiita dk natunamuamin! Kama sio tumelogwa basi taifa linashida ya watu wake kupiga madogoli.

wapo wengi sana na kila mahali. wanatofautiana kwa staili tu.
 
Watu type za akina Mwaka wadhibitiwe maana sheria zipo. Ila tiba mbadala ipewe uzito unaostahili. Mitishamba mingi ni mizuri tu
 
Kula tano mkuu..wenye fani zao wapo wanakuja matapeli kina mwaka wanavuna mamilioni kwa masikini...nilishapost hapa siku za nyuma kwamba zama za ujanja ujanja na utapeli zimefikia tamati sasa, kwa aina ya serikali ya jpm bila kueleweka utaomba nauli ya kurudi kijijini
 
Kwa kweli serikali hasa kwenye upande wa Afya ina kazi kubwa sana...
Kuna hawa Madkt uchwara wanatoa matangazo mengi sana ya kitapeli...eti dawa hii inatibu kabisa UKIMWI... jamani..!!
 
Mbona wengi nchini bafo wanaenda kutibiwa kwa waganga wa jadi na hao waliosoma udaktari wapo.

Muache watu waamue wanataka tiba gani ni miili yao.
 
Mbona wengi nchini bafo wanaenda kutibiwa kwa waganga wa jadi na hao waliosoma udaktari wapo.

Muache watu waamue wanataka tiba gani ni miili yao.

Ningecomment zaidi ila ID name na Avatar yako ndo vimenizuia
 
mbona wengi nchini bafo wanaenda kutibiwa kwa waganga wa jadi na hao waliosoma udaktari wapo.

Muache watu waamue wanataka tiba gani ni miili yao.

serikali inatakiwa iboreshe huduma.dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zake.nakuhakikishia kukiwa na huduma bora za matibabu na kwa gharama za kawaida hutamwona mtu anaenda kwenye tiba mbadala
 
Daktari wewe.Ungesomea basi dawa mbadala. Haingii akilini daktari anakupa magnesium kutibu kiungulia.Mzizimkavu si anajua dawa ya kiungulia dakika sifuri kinaisha.?Ninyi ni mawakala wa wauza madawa and we know it very well.
 
Back
Top Bottom