Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Wapinzani watu waajabu sana!
Hudai wana malengo mazuri na sisi ya kufuta ufisadi kwenye ramani yetu. Hata tuhuma za ufisadi wake hawajazijua wameanza kumtetea bila kusema anatuhumiwa nini? Hii inatisha kwa wote tunaoitakia nchi yetu amani.
Huyu Mbowe ni mlafi wa madaraka wa kupitilizia huku akidai serikalini Rais apunguziwe madaraka lakini kwenye chama chake kajilimbikizia madaraka hata kuondoa ukomo wa madaraka ya uongozi.
Hivi fisadi huyu akipewa nchi la kwanza si ni kufuta vifungu vyote vya Katiba vya ukomo wa urais atawale milele?
Maandiko yanatuasa yule ambaye siyo mwaminifu kwa madogo hata makubwa siyo mwaminifu.
Watetezi wa ufisadi wa Mbowe mnapomtetea basi muwe mnatetea na tuhuma zinazomkabili kama mnazijua kama hamzijui fungeni mabakuli yenu subirini akaangwe.
Huwezi ukavaa joho la kupambana na ufisadi wakati wewe mwenyewe ni teja wa ufisadi.
Udhaifu wako maadui zako watautumia kukumaliza kisiasa. Na kwanini wakuache wakati wewe ni mnafiki?
Takukuru kazeni buti mpaka kieleweke na haswa tuhuma za wizi na ubadhirifu wa ruzuku ya serikali na michango ya wabunge wa CHADEMA pamoja na ile billion ya kuchimba visima waliyopewa na Sabodo waliifanyia nini?
Hudai wana malengo mazuri na sisi ya kufuta ufisadi kwenye ramani yetu. Hata tuhuma za ufisadi wake hawajazijua wameanza kumtetea bila kusema anatuhumiwa nini? Hii inatisha kwa wote tunaoitakia nchi yetu amani.
Huyu Mbowe ni mlafi wa madaraka wa kupitilizia huku akidai serikalini Rais apunguziwe madaraka lakini kwenye chama chake kajilimbikizia madaraka hata kuondoa ukomo wa madaraka ya uongozi.
Hivi fisadi huyu akipewa nchi la kwanza si ni kufuta vifungu vyote vya Katiba vya ukomo wa urais atawale milele?
Maandiko yanatuasa yule ambaye siyo mwaminifu kwa madogo hata makubwa siyo mwaminifu.
Watetezi wa ufisadi wa Mbowe mnapomtetea basi muwe mnatetea na tuhuma zinazomkabili kama mnazijua kama hamzijui fungeni mabakuli yenu subirini akaangwe.
Huwezi ukavaa joho la kupambana na ufisadi wakati wewe mwenyewe ni teja wa ufisadi.
Udhaifu wako maadui zako watautumia kukumaliza kisiasa. Na kwanini wakuache wakati wewe ni mnafiki?
Takukuru kazeni buti mpaka kieleweke na haswa tuhuma za wizi na ubadhirifu wa ruzuku ya serikali na michango ya wabunge wa CHADEMA pamoja na ile billion ya kuchimba visima waliyopewa na Sabodo waliifanyia nini?