Acheni kulilia mapenzi

Acheni kulilia mapenzi

Mhhh! Na ww ukategeka kabisaaa?????

amejitega mwenyewe huyo eti kasema yuko single kabisaaaaa huyu usimsamehe kirahisi aisee hawezi kukukana hadharani namna hii
 
kuachwa ni kuzur sana
......unapata experience nyingine mpya. kulia lia ni dalili za kutokuwa na altenative...ni uzembe kuwa tegemez
 
...umeniacha mda mrefu, hadi damu yaenda kasi..

Mbona mm nimevumiliaa. So umempenda sana romantic eye? Na unadhani utakuwa na furaha zaidi ukiwa naye? Napenda kukuona ukiwa name furaha. Km furaha yako iko wake. It is OK with me
 
Mbona mm nimevumiliaa. So umempenda sana romantic eye? Na unadhani utakuwa na furaha zaidi ukiwa naye? Napenda kukuona ukiwa name furaha. Km furaha yako iko wake. It is OK with me
romantic eyes unaona ulipoifikisha ndoa yangu?? You're to blame..!!
 
Last edited by a moderator:
Mbona mm nimevumiliaa. So umempenda sana romantic eye? Na unadhani utakuwa na furaha zaidi ukiwa naye? Napenda kukuona ukiwa name furaha. Km furaha yako iko wake. It is OK with me

Aaah huu moyo huu natamani ningekuwa nao na mimi
 
Mapenz haya ni kuachia tu kama huoni uelekeo
Sinaga mda wa kung' ania penz hicho kipaj Sina
 
Mapenz haya ni kuachia tu kama huoni uelekeo
Sinaga mda wa kung' ania penz hicho kipaj Sina

mmmmmh... sina uhakika na hili, ukiwa na upendo wa agape huwezi kuachia ngazi kirahisi!
..tatizo siku hizi vijana mnapenda kimachale zaidi..
 
mmmmmh... sina uhakika na hili, ukiwa na upendo wa agape huwezi kuachia ngazi kirahisi!
..tatizo siku hizi vijana mnapenda kimachale zaidi..

Hayo mapenz ya agape karne hii
Labda kama moyo wako na akili yako ipo kwangu nijue uniwazialo
Kupenda kwa sasa mkao wa chura
 
Back
Top Bottom