Acheni kulilia mapenzi

Acheni kulilia mapenzi

Mie naomboleza huu mwaka wa pili sasa..kwingine kote naona hakuna ladha...
 
Mmmmh my daughter pole mama...achana na hiyo mijanaume mama yako nipo ntakupa moral support ya kutosha

ahsante mummy we acha tu nilitendwaje!!!

kweli unipe tu moral support mwanao
 
ni kama vile kumuacha mmtu ni dhambi......as if ujilazimishe kuwa na mtu hata kama feelings hakuna since 'kumuacha' ni dhambi
 
ni kama vile kumuacha mmtu ni dhambi......as if ujilazimishe kuwa na mtu hata kama feelings hakuna since 'kumuacha' ni dhambi

hakuna dhambi yoyote katika kuacha au kuachwa

ndo maana nashauri wenzangu na mimi tuache kulalamika na kulaumu, tuheshimu maamuzi ya wenzetu hata kama yataumiza.
 
hakuna dhambi yoyote katika kuacha au kuachwa

ndo maana nashauri wenzangu na mimi tuache kulalamika na kulaumu, tuheshimu maamuzi ya wenzetu hata kama yataumiza.

mfano akikupa mimba then akakukataa nako hakuna dhambi??
 
mfano akikupa mimba then akakukataa nako hakuna dhambi??

kwa upande wangu siwezi nikaita dhambi tena huyo anayekataa inaelekea ni mpenzi tu sio mume, ni kwa nini turuhusu mimba za nje ya ndoa? ni uzembe wetu (hata mimi pia nilipata mimba japo bado sijaolewa, haikukataliwa ingawa kwa mapenzi ya Mungu mtoto alifariki)

kwahiyo kama ni dhambi au sio ajue yeye na Mungu wake, hata tukisema tulalamike kutelekezwa na mimba malalamiko hayo yatasaidia nini? haswa kwa mtu kama huyo asiyejitambua?
 
Back
Top Bottom