King Mbappe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 1,195
- 2,046
blaza we ngangari ngingiri ngungingungi
Hahahaaa mkuu mbona 'nyam''nyam''nyam'Kwa moto huu bila shaka wewe ni mmoja wao acheni na badilikeni.
Kama ramazan iliyopita majuzi hapa kipindi kile mvua imenyesha kubwa Jangwani bridge imefungwa katika mtaa huo nilioutaja hapo juu Narung'ombe na Bonde pale masjid idrisa ule muda wa kula jioni mkafunga mtaa katikati ya barabara mmekaa mnakula wakati mkijua wazi gari zote zilikimbilia vichochoroni ili zikatembee na Uhuru road.
Yaani gari zimebanana pale na nyie kabisa mmejenga na miamvuli katikati ya barabara mnakula huku watu wamefura kwa hasira hamjali mko “nyam nyam nyam” halafu mnasema ibada.nchi hii hata kama tuna uhuru wa kuabudu ule siyo uhuru ni ulimbukeni,as a human being siwezi fanya ujinga ule mimi hata kama nina uhuru kiasi gani uso umeumbwa na aibu kuna vitu kama binadam ukivifanya hata nafsi yako mwenyewe inakusuta.
kuna watu duniani wanajionaga wa pekee sana. safi mkuu
safi sana mkuu....
story yako imenikumbusha mkasa wangu na jamaa fulani wa crdb kibaha
siki ya kwanza alifanya niende nyumbani kwa bodaboda
nikamvizia na mimi nikamfanya akodi bodaboda kwenda kwake
CRDB kibaha ilikuwaga kwenye jengo la Njuweni hotel kabla hawajajenga jengo lao
sasa maeneo hayo kuna shughuli nyingi zinafanyika moja wapo kuna Hair cutin saloon
kuna siku mchana mida ya saa sita nimeenda kunyoa kwa sababu saloon na hiyo bank vyote vipo eneo la Njuweni basi parkin tunashare
inafika saa saba na nusu hivi nataka kusepa nakuta kuna Altezza imeniblock siwezi kutoka
nikauliza nikaambiwa ni ya jamaa wa crdb (namfahamu) kwa sura nikatuma mhudumu wa bank akamuite akagoma kutoka akasema yupo busy hawezi acha kazi aje kutoa gari
nikawa mpole nikachukua bodaboda hadi home...saa moja nusu jioni nikarudi kuchukua usafiri wangu
kuna siku naenda town siendi na gari so gari napaki hapo njuweni ile kufika mida ya saa tatu asubuhi nataka kupaki sinikaiona ile Atezza tena imekaa utamu kweli kuiblock maana hakupaki maeneo ya wateja wa bank aliiweka kwa pemben ambapo mtu ukipaki kwenye wateja wa bank unaiblock
nikasema yeeeees nikaenda nikapack nyuma yake alafu nikazuga kama nimeengia bank alafu nikatoka nikasepa
narudi kuchukua gari saa tatu usiku nakutana na lawama za wakinzi kuwa jamaa katukana sanaa alivyotoka job ikabidi achukue bodaboda aende kwake
Achana na mimi jibu hoja. Ningetaka kujulikana nigekuwa "verified member".
Punguani wahed.
Anayecheka mwisho ndio kacheka.. Vipi mkuu, hawakuleta zile hasira zao za ajabu ajabu.???
Haswa hawa Ngumbarukuna watu duniani wanajionaga wa pekee sana. safi mkuu
Kiherehere hakikuishi eehHadithi yako ya nyumbani kwako na hao jirani zako na hiyo ya watu kuswali Ijumaa zinauhusiano upi?
Kule madrasa alienda kusomea ujingabibi jifunze kuandika kwanza
Wanatawadha na kula tende na wali wa manjano.Safiii sanaaa
Wanafanya nini wakikaa hapo
YaAn jamaa wale bhana karah wew sali mpaka ufungie Barbara wengine ,Kariakoo ndiyo vurugu pote pale,ukitoka Fire ukasema ushuke na Sikukuu Str katikati ya huu mtaa na Twiga Str unakuta wamefunga mtaa,ukiwakwepa ukasema uingilie chochoroni ukatokee Nyamwezi Str ukifika katikati ya huu mtaa na Amani Str unakuta napo wamefunga,hapo bado hujakasirika vizuri.
Ukisema aah acha watu wamuabudu Mungu wao ngoja nikaitafute Jangwani Street nishuke nayo nikatokee Mafia Str niingie na Bonde Str nikaikamate Narung’ombe Str niendelee na yangu katikati hapo napo unawakuta watu wamefunga barabara tena kushoto kisha tena mita kama 15 mbele wamefunga na kulia aisee utatamani kama uwagonge hivi!!!
Siku hiyo nipo na jamaa yangu Mkenya hadi nikajisikia aibu,maana anataka kuwahi mishe zake then akakutana na huu ujinga aloo nchi yote tukaonekana hatuna akili.
Wabadilike wapi...Usilipe ubaya kwa ubaya, lipa ubaya kwa jema.
Nafikiri ungesogeza gari baada ya kuona ni wewe walokukosea wangejifunza kitu na wangeweza kubadilika!