Acha tu niseme: Nyie ndugu zangu mna mambo ya hovyo sana. Nadhani hamtonisahau kwa hii Leo

@RobertSendabishaka,
kumbe nawe umeona,huyu ni kati ya wale wa wabushi kapata kacheo kule ccbrt wakampa cruiser ya kutembelea wamama wa fistula,sasa zile posho za safari tayari makalio yanalia mbwata anajiona yeye ndo yrye,

tatizo kubwa lake kubwa ni makuzi,yaani upbringing ya hawa wenzetu ina mshkeli,
akipata vihela kidogo tu anaona kila mtu wa nini yeye ndo yuko juu,
hii sio ishu ya kuanzishia uzi unless labda awe alikuwa anatafuta maneno watu
wenye navyo hata hawasemi neno. ukikutana naye mtaani waweza kuacha hata kumsalima ukimuona wa kaliba ya chini kumbe akaunti yake benki inapumua kwa shida.

pumzika kwa amani Dr Reginald Mengi.
 
mkuu una elimu gani? umewahi ishi wapi?wewe ni mmoja ya waislamu wa tofauti sana ambao nimewahi kukutana nao. una uwezo wa ku reason unaongea kwa logic na hupendi kuwa mtu wa kulia lia na kuonewa huruma. wewe ulipaswa uwe kiongozi somewhere.

Ila mama kuna mambo inabidi tuyapeleke kiweledi na hekma kama uislam unavyotaka, maana haya mengine ni mazoea yetu tu kibinadam na anaaniyya/umimi wala si hekma ya dini. Hii italeta sura halisi ya uislam, kuwavuta na kuwakosesha hoja za kipuuzi pity pity zinazosababishwa tu na waumin naively na wala si fiqhi ya dini. Itawavutia na kuwafilisi hoja angalu zibakie zile tu hoja zao za 'miaka nenda rudi' za Isa si Yesu huku wakipata uongofu makundi kwa makundi siku hadi siku.
 
saa kumi na ijumaa wapi na wapi?!....posta na mwananyamala wapi na wapi?!...gari jirani na nyumba yako na mskiti wapi na wapi?!..
mtu wa music kwenda kuzungumzishwa na ibada wapi na wapi?!...
mimi watu kama nyie ndo huwa nawatafuta wenye kuhusisha imani za watu na upuuzi wa mitaani...hiyo mikwara yako mkuu ningekutegua kiuno nakwambia....na hata ungekuwa na panga au bastola au hicho kiberiti chako cha gesi usingeweza kuvitumia...
be humble hadithia story ya nyumbani kwako ibada za watu wala hazihusiani hapo hakukuwa na haja ya kuunganisha story..

mengine nimeandika kwa hasira univumilie..
 
1. 25000 hiyo inajenga mahusiano si pesa nyingi ni ya kawaida kwangu huwa nawapa hata zaidi. kuoshwa gari huwa naosha kwa tsh 10,000-15,000
heshima yangu haiwezi pandishwa au shushwa na mtu maana hata wangeniita profesa au raisi nisingekuwa hivyo
ukorofi kwangu naupenda na ukorofi ni very general
al badil nimeanza somewa miaka mingi sana haijawah fanya kazi
sijawa na any psychological damage nimeponya akili yangu maana mwishoni nimeshinda

kumbe hizi id hazibuniwi kibahati bahati!

yaani 25,000+ waoshaji+ muda wako+kushushwa heshima (kuitwa mvuta bangi, kuonekana mkorofi mbele ya mjumbe+arubadili ijayo+psychological damage

vyote hivyo vilitumika kugharamia huo mzozo tu na leo unajiona mshindi!!
View attachment 1188322
 
1) La kwanza pitia uzi huu utapata majibu murua kabisa.
2) Tazama list ya matajiri 10 wakuu Tanzania ukimaliza njoo uwataje.

3) Ulitaka wawatoe misukule kama kule kwenu?

4) Waislam tunaanza chuo tukiwa na miaka mitatu tu. Kwa watu kama wewe hata umalize vyuo vya dunia bado huelimiki. Ungekuwa na elimu japo kiduchu usingeuliza kijinga kama ufanyavyo. Lakini tutakupa darsa, ndiyo wajib wetu.

5) Kwa sasa sitaki kukuwekea listi ya majina na wanayoyafanya kwani nitakuwa poyoyo kama wewe lakini ukiendeleza upoyoyo wako nitakuwekea. Isipokuwa ntakuuliza tu. Wapi Uislam umefundisha ujambazi?

6) Sidhani kama watajitokeza mapoyoyo wengine qa kiwango chako. Saa hizi wanakuponda tu.
Naelewa, nakuelewa Faiza Fox, wewe ni mtu wa kupanic, japo kuwa haiwezi badilisha kitu, na ndio maana mtabakia nyuma kilasiku, kwakuwa mnadefend ujinga! sisi sote tunajua, nyie watu mnatatizo la kujiongeza!. japo kuwa siwezi kukulaumu kwa kuwa haiwezekani ngedere kumtetea mkulima.
 
Naelewa, nakuelewa Faiza Fox, wewe ni mtu wa kupanic, japo kuwa haiwezi badilisha kitu, na ndio maana mtabakia nyuma kilasiku, kwakuwa mnadefend ujinga! sisi sote tunajua, nyie watu mnatatizo la kujiongeza!. japo kuwa siwezi kukulaumu kwa kuwa haiwezekani ngedere kumtetea mkulima.
Hoja zimekushinda unaanza viroja.
 
Hujachambwa umepewa darsa unaona umechambwa. Jee ukichambwa si itakuwa mwao. Makubwa!

Sipo hapa kutazama wewe Muislam au siyo Muislam, hapa nakupa darsa uwe usiwe Muislam, kwangu hainizidishii wala hainipunguzii. Kumbuka hilo.

Kuhusu Adhan au Qur'an kusomwa kwa sauti nayo pia huelewi impact yake. Ungeelewa usingebwabwaja hovyo. Utapopenda kujuwa nijulishe nitakujulisha.

Kuna sheria ya makelele huifahamu? Nenda kapeleke malalamiko sehemu husika unapoona kuna kelele hatua zitachukuliwa.
Sawa ma mkubwa! Japo nili'exclude adhana, swala ya Ijumaa na idd kwenye hoja zangu.
Nimevipata nasaha na mapendekezo yako na uniwie radhi kwa kukukwaza kwa maandishi yangu.
Elimu haina mwisho, naendelea kupokea darsa.
 
Huo uongo mtupu.

Hakuna msikiti posta kuna round about. Msikiti wa kwenye round about kwa uhindini Dar ni msikiti wa wangazija nao upo mbali sana na posta.

Karibu ya posta kuna kanisa.
Huyu ni mgeni Dar,kaona kanisa,akafikiri ni msikiti,akiwa na kibajaj chake.
 
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.


Mrejesho.
hatimaye tumefikia muafaka saa 20:05 baada ya mjumbe kuja kuniomba kwa heshima yake niondoe gari. Jamaa walitaka eti wakainyanyue cruiser. Nlitoa tu kiberiti cha gesi na kuwaambia atakaye gusa gari yeye na gari wote nawatia moto.

Jamaa wanadai mimi navuta bhangi si wa kawaida. Nimemheshimu mjumbe wangu.tairi limerudishwa nimetoa gari kuwapisha nami nirudi home. Naamini wamejifunza next time ndo wajue nitalaza gari hapo hapo kama mbwai mbwai tu.

weka ugoko mimi naweka jiwe. Keusi keusi....hakuna kulea ubovu. Tutaendelea kufundishana kwa vitendo.
Safi sana...huo ubabe ndio unatakiwa kabisa
 
nyam nyam nyam hhh..
Dah,ina maana watu wanakula katikati ya barabara..
Hhh hio njaa ni kiboko
Katikati ya barabara mkuu nachosema namaanisha yani pale tulisuguana wenyewe kwa wenyewe zaidi ya saa moja kupishana lakini wapi maana vichochoro vyote vilijaa magari mbaya zaidi mvua ilikuwa inashuka mbaya kabisa,mpaka walipomaliza wakajizoa zoa na sahani zao za plastic na vikombe vya uji na kutoa meza zao za kuunga unga ndo tukapita,mazingira yenyewe wanayokula machafu mitaro imeziba mimaji michafu inapita chini ya meza yani tafrani.

That day nilifika nyumbani saa 00:49 mpaka saa nakumbuka,nilijaa hasira mpaka nikatamani kulia.nilichojifunza binadam tunapokuwa huru sana kwenye mambo madogo madogo kama haya kuna baadhi wana-lose kabisa hata ile akili ndogo ya kuchakata mambo kwa usahihi.

Inakera sana mkuu.
 
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.


Mrejesho.
hatimaye tumefikia muafaka saa 20:05 baada ya mjumbe kuja kuniomba kwa heshima yake niondoe gari. Jamaa walitaka eti wakainyanyue cruiser. Nlitoa tu kiberiti cha gesi na kuwaambia atakaye gusa gari yeye na gari wote nawatia moto.

Jamaa wanadai mimi navuta bhangi si wa kawaida. Nimemheshimu mjumbe wangu.tairi limerudishwa nimetoa gari kuwapisha nami nirudi home. Naamini wamejifunza next time ndo wajue nitalaza gari hapo hapo kama mbwai mbwai tu.

weka ugoko mimi naweka jiwe. Keusi keusi....hakuna kulea ubovu. Tutaendelea kufundishana kwa vitendo.
KWA KWELI UMENIFURAHISHA SANA,

WEWE ULIONESHA BUSALA NA HESHIMA KUBWA SANA KWAO.ILA WAO WAKAJIFANYA WENDAWAZIMU.


Ulichokosea kuitoa saa mbili, Ningekuwa karibu yako ningekushauri ILALE hapo hapo. Ningejitolea kukulindia hata Kama hatujuani.

hata Hivyo umewapigisha kwata.la kutosha, Waache nyodo zao. πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ
 
Back
Top Bottom