Acha tu niseme: Nyie ndugu zangu mna mambo ya hovyo sana. Nadhani hamtonisahau kwa hii Leo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,742
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.


Mrejesho.
hatimaye tumefikia muafaka saa 20:05 baada ya mjumbe kuja kuniomba kwa heshima yake niondoe gari. Jamaa walitaka eti wakainyanyue cruiser. Nlitoa tu kiberiti cha gesi na kuwaambia atakaye gusa gari yeye na gari wote nawatia moto.

Jamaa wanadai mimi navuta bhangi si wa kawaida. Nimemheshimu mjumbe wangu.tairi limerudishwa nimetoa gari kuwapisha nami nirudi home. Naamini wamejifunza next time ndo wajue nitalaza gari hapo hapo kama mbwai mbwai tu.

weka ugoko mimi naweka jiwe. Keusi keusi....hakuna kulea ubovu. Tutaendelea kufundishana kwa vitendo.
 
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.
Hadithi yako ya nyumbani kwako na hao jirani zako na hiyo ya watu kuswali Ijumaa zina uhusiano upi?
 
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.

Ulianza vizuri ili mwishowe umeunga story! Ningekuwepo hapo iyo vitz yako ungeitoa tu dakika chache za awali kabisa!
 
Mimi ofisi zangu zipo posta maeneo flan ambako napoenda au kutoka hupita mitaa flani kuna nyumba ya ibada pembeni ya round about.

Ndugu zangu kwa kuwa na uelewa mdogo wamebinafsisha ile barabara siku za Ijumaa na Siku nyingine pia saa saba mchana. Wanafunga barabara wanafanya ibada.

Kufanya ibada yao si jambo baya.but why watufungie barabara sisi wengine?kwa nini kufanya kwako ibada iwe kikwazo kwa wengine?

Mara kadhaa nmepita maeneo flani hasa magomeni,mwanyamala na ilala... Unakuta njia imefungwa...ukitizama kuna ndugu zangu wametandika mikeka na maturubai wamekaa. Huu ni wendawazimu.mnazibaje barabara kwa issues zenu binafsi?

Leo sasa ndo imenikwaza nikasema kama mbwai mbwai. Narudi home mitaa flani hapa dar.mimi kwangu ni nyumba ya mtaa wa mwisho kabisa hivyo kuna barabara ya mtaa ambayo inaenda kukomea kwangu.

Kushoto kwangu na kulia ni nyumba za wadau wengine mtaani kiukweli hatufahamiani sababu kila mtu anakuwa getini kwake ndani and nobody gives a damn about others.

Mimi nmewahi kutoka job nmechoka sana nirudi home nipumzike.so saa kumi tu nipo home.nmefika nakuta barabarani kuna gari nne zimepark zime block barabarani.maana zimesimamishwa barabarani kabisa.

Nikashuka nikaanza tembea gari ya mbele yangu ndo jamaa alikuwa anashuka.nikamwahi kumwambia please umepark barabarani nataka kupita akanicheck akaendelea kuongea na simu akaingia nyumba ya jirani yangu geti lilikuwa wazi.

Mimi kwenda kucheck nikakuta pale uani wametandika mikeka na watoto wengi na wamama wamekaa wakiendelea na shughuli yao.

Nikaona si ustaarabu kuingia ndani wakati wao wamevua viatu nikamwita mtu mmoja kwa ishara.akajishauri sana baada ya kama dk 5 akaja na kuniuliza nataka nini.nikamweleza tatizo langu.akarudi ndani akakaa.

Nikamwita wa pili.akaja naye akarudi akaenda mnong'oneza kitu mshughulika na music akakaa.nikawa naanza kuiva kwa hasira.akafika bwana mwingine huyu alikuwa mstaarabu.

Nikamweleza akasikitika sana.akaingia ndani akatoka kama baada ya dk 7 hivi.akasema "wenye magari wamepata taarifa" nikasubiri kama dk 20 bila mtu kutoka.

Nikaona isiwe shida home nimeshafika.nikazima gari,nika lock milango nikajiondokea kwenda home.nimefika home nikaoga nikalala nlimwambia tu dada mtu akija amwambie nimelala huwa siamshwi.

Jamaa imefika saa 11 wameanza kutafuta mwenye ile gari...kila nyumba wakafika home kwangu.wakapewa ujumbe.wamebembeleza sana nmegoma kwenda mpaka wameenda mwita mjumbe.kwa heshima yake nimeenda wasikiliza. Jamaa imekuwa zamu yao sasa. "Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma" na siku zote "jeuri ndugu yake kusudi"

Basi mjumbe kanisihi sana.nikawaambia haina shida nmerudi ndani nikawaambia siioni funguo.hivyo namwachia dada jukumu la kutafuta home mimi naenda tafuta ilipo gari.

So nimeenda kwenye gari nikazunguka zunguka then nikasema pale haipo tumsubirie dada toka home akipata alete.jamaa wamebembeleza mpaka sasa wamebaki wanalaani tu.

Nami nimeenda kamata jamaa zangu kijiweni nimewaambia wakanioshee gari pale pale ilipo na pia wanilindie.wapo watano masela wa kitaa. Nmewaambia tu nina 25,000. Mmoja akafungue tairi aseme anaenda jaza upepo.

Mpaka muda huu i am the one who laughs. Wazungu walisema " he laughs better who laughs last"navuta vuta muda mpaka saa mbili ndo naenda itoa gari.nmewasikia wanaenda kuita polisi.

Bahati mbaya wote hatufahamiani.nami nasubiri aje polisi...tuzungumze.maana sasa gari tairi moja imetolewa na kwenda fichwa hapo jirani.

Ni kwanini ndugu zangu huwa mnapenda sana kukwamisha ratiba za wengine?tunacheleweshana.imani yenu iwe yenu msiwakwaze na wengine. Na ondoeni ujuvi hausaidii hasa kwa sisi wajuba hatupatani na wajuvi.
Ibada yako isikwamishe kazi za wengine ,tuwe na Uhuru Wa kuabudu kila MTU kwa nafasi yake ,sasa mnaziba road tena ,daaah
 
Back
Top Bottom