britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Deni la Taifa kwa sasa ni trillion 41 ambako uchunguzi unaonesha kwamba kila awamu ina mchango katika deni la Taifa , lakini awamu ya kikwete ilitia fora
1.Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 3 trillions
Huyu mzee deni lake limekuja mwaka 1979 wakati wa vita lakin kipindi cha nyuma alikuwa na.clean sheet
Nitaanzia kumchambua Mwinyi Mkapa na Kikwete, Maana ubovu wa mwinyi alirekebisha Mkapa , Kikwete akaturudisha kwa Mwinyi
2.Ali Hassan Mwinyi 18 trillions
Inamaana mwinyi amekopa Trillions 15
3.Mkapa huyu mr clean alipokuja alifuatiliwa na sana na mwalimu nyerere na kumpa maelekezo kurekebisha ya mwinyi kupitia aliyofanya Mkapa utagundua yapi yalikuwa madhaifu ya Mwinyi
Mkapa alipokuja akalipa na kushusha deni la Taifa mpaka 10 trillions,
Mkapa amepokea nchi mwaka 1995, huku ukuaji wa uchumi ukiwa asilimia 4.2. Alipoondoka madarakani uchumi ulikuwa asilimia 6.7
mwaka 1995 mfumko wa bei ulikuwa asilimia 21 lakini mwaka 2005 kipindi chote cha Mkapa mfumko huo ulishuka mpaka asilimia 4.
Mkapa alipokea serikali riba ya benki ikiwa asilimia 30 hadi 26 mwaka 1995. Mwaka 2005 riba ya benki ilishuka hadi asilimia 14.
Mkapa kapewa nchi ikiwa haikopesheki mwaka 1995. Mwaka 2005 deni la taifa lilikuwa Sh 10 trioni. Leo miaka 10 katika utawala wa Rais Kikwete, deni lilifika Sh. 35 trioni. Ziada ya Sh. 25 trioni na kilichofanywa na deni hakionekani
wakati Mkapa anaingia madarakani mwaka 1995, akiba ya fedha za kigeni zilikuwa za miezi miwili; hadi mwaka 2005, akiba hiyo ilifikia ya miezi nane.
4.Jakaya kikwete amekopa mpaka 35 trillions inamaana trillions 25 amekopa kikwete
chini ya utawala wa Kikwete, riba ya benki imepanda hadi asilimia 18.
ukilinganisha na Mkapa alipewa nchi ikiwa haikopesheki mwaka 1995. Mwaka 2005 deni la taifa lilikuwa Sh 10 trioni. Lakin miaka 10 katika utawala wa Rais Kikwete, deni lilifika Sh. 35 trioni. Ziada ya Sh. 25 trioni
Mkapa aliacha nchi ikiwa inakusanya mapato ya ndani zaidi ya asilimia 14 ya pato la taifa mwaka 2005. Kwa kwa kikwete, kodi iliyokusanywa ni asilimia 12 ya pato la taifa.
KWA UPANDE WA MAGUFULI
5. Mpaka sasa Magufuli kakopa trillions 6, kwa miaka 2 aliyoingia
Bongonewz Magazine: MMH!! SERIKALI YA KIKWETE YAONGOZA KWA KUKOPA: DENI LA TAIFA LAFIKIA TRILIONI 21
RICHARD KAMNDE: DENI LA TAIFA LAFIKIA TRILION 40 IMF YAIONYA SERIKALI
Deni la taifa Tz laongezeka hadi trilioni 40
Kafulila: JK kavunja uchumi aliouweka Mkapa
Angalia kuporomoka kwa shillingi tokea tumepata Uhuru
1.Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 3 trillions
Huyu mzee deni lake limekuja mwaka 1979 wakati wa vita lakin kipindi cha nyuma alikuwa na.clean sheet
Nitaanzia kumchambua Mwinyi Mkapa na Kikwete, Maana ubovu wa mwinyi alirekebisha Mkapa , Kikwete akaturudisha kwa Mwinyi
2.Ali Hassan Mwinyi 18 trillions
Inamaana mwinyi amekopa Trillions 15
3.Mkapa huyu mr clean alipokuja alifuatiliwa na sana na mwalimu nyerere na kumpa maelekezo kurekebisha ya mwinyi kupitia aliyofanya Mkapa utagundua yapi yalikuwa madhaifu ya Mwinyi
Mkapa alipokuja akalipa na kushusha deni la Taifa mpaka 10 trillions,
Mkapa amepokea nchi mwaka 1995, huku ukuaji wa uchumi ukiwa asilimia 4.2. Alipoondoka madarakani uchumi ulikuwa asilimia 6.7
mwaka 1995 mfumko wa bei ulikuwa asilimia 21 lakini mwaka 2005 kipindi chote cha Mkapa mfumko huo ulishuka mpaka asilimia 4.
Mkapa alipokea serikali riba ya benki ikiwa asilimia 30 hadi 26 mwaka 1995. Mwaka 2005 riba ya benki ilishuka hadi asilimia 14.
Mkapa kapewa nchi ikiwa haikopesheki mwaka 1995. Mwaka 2005 deni la taifa lilikuwa Sh 10 trioni. Leo miaka 10 katika utawala wa Rais Kikwete, deni lilifika Sh. 35 trioni. Ziada ya Sh. 25 trioni na kilichofanywa na deni hakionekani
wakati Mkapa anaingia madarakani mwaka 1995, akiba ya fedha za kigeni zilikuwa za miezi miwili; hadi mwaka 2005, akiba hiyo ilifikia ya miezi nane.
4.Jakaya kikwete amekopa mpaka 35 trillions inamaana trillions 25 amekopa kikwete
chini ya utawala wa Kikwete, riba ya benki imepanda hadi asilimia 18.
ukilinganisha na Mkapa alipewa nchi ikiwa haikopesheki mwaka 1995. Mwaka 2005 deni la taifa lilikuwa Sh 10 trioni. Lakin miaka 10 katika utawala wa Rais Kikwete, deni lilifika Sh. 35 trioni. Ziada ya Sh. 25 trioni
Mkapa aliacha nchi ikiwa inakusanya mapato ya ndani zaidi ya asilimia 14 ya pato la taifa mwaka 2005. Kwa kwa kikwete, kodi iliyokusanywa ni asilimia 12 ya pato la taifa.
KWA UPANDE WA MAGUFULI
5. Mpaka sasa Magufuli kakopa trillions 6, kwa miaka 2 aliyoingia
Bongonewz Magazine: MMH!! SERIKALI YA KIKWETE YAONGOZA KWA KUKOPA: DENI LA TAIFA LAFIKIA TRILIONI 21
RICHARD KAMNDE: DENI LA TAIFA LAFIKIA TRILION 40 IMF YAIONYA SERIKALI
Deni la taifa Tz laongezeka hadi trilioni 40
Kafulila: JK kavunja uchumi aliouweka Mkapa
Angalia kuporomoka kwa shillingi tokea tumepata Uhuru