Acha nicheke mie😄😄😄

Acha nicheke mie😄😄😄

Monica Mgeni

Member
Joined
Oct 7, 2021
Posts
82
Reaction score
134
IMG-20220424-WA0018.jpg
 
MBONA kama kombinenga ya Msomali na muokota makopo wa Tandale
 
Unafahamu bei za hicho kiatu

Madhara ya kuzoea kuvaa viatu vya, Mlimani City, kariakoo na Sinza ndio haya

Marekani ni ngumu kuingiza viatu feki mkuu, Mamlaka za udhibiti zipo makini sana sana

Bei za hicho kiatu ni mshahara wa Graduate Tanzania wa uhasibu serikalini kwa mwezi

Viatu vingi Tanzania ni malonya tu

Viatu Tanzania vimepigwa chata addidas sijui Nike lakini ni maraba ukivaa hayafiki miezi miwili yamechanika sababu ni Fake za kichina

Raba original ukizikuta Tanzania zinaanzia laki Saba ( 700,000) ukipunguziwa sana ni laki tano

Raba za laki mbili, Sio raba ni matambala yanapatikana Pale Mlimani city

Nilishangaa Jamaa ananiambia ameinunua raba 150,000 ya Nike Mlimani City, Baada ya kufanya mazoezi week mbili tu raba yake kwisha habari yake

Raba original ya kuanzia 700,000 Unafanya nayo mazoezi hata mwaka mzima kwa kukimbia kwenye lami bila kuharibika

Tanzania raba ni Fake mkuu
 
Nchi za watu huwa hawajali sana kutupia. Ndio maana wazungu wakija kwetu huwa wako simple tu,hawaoni ajabu kuvaa nguo moja wiki nzima.
 
Kuna picha nyingine mzungu nae ameshika bango ety naye anataka katiba mpya 😂😂 huyu mzungu kichaa cjui kalipwa Tsh kwenye zile pesa toka join the chain
 
Kuna picha nyingine mzungu nae ameshika bango ety naye anataka katiba mpya huyu mzungu kichaa cjui kalipwa Tsh kwenye zile pesa toka join the chain
Unasahau hata mzungu anaweza kuwa Raia wa Tanzania kama walivyo wahindi unaoona hapa TZ. Uhindi/uzungu unabaki kuwa asili lakini uraia ni Tanzania
 
Unasahau hata mzungu anaweza kuwa Raia wa Tanzania kama walivyo wahindi unaoona hapa TZ. Uhindi/uzungu unabaki kuwa asili lakini uraia ni Tanzania
😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom